Wanafunzi wa kitivo cha elimu katika chuo kikuu cha
Dodoma wameipindua serikali ya wanafunzi wa kitivo
hicho kwa madai ya kutowajibika kwa viongozi pamoja na
madai ya ubadhirifu wa fedha.
Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM).
Mapinduzi hayo yamefanyika leo asubuhi ambapo
wanafunzi hao wamempindua aliyekuwa Rais wa kitivo
hicho, John Nzilanyingi na kumuweka aliyekuwa waziri wa
afya na mikopo, Simon Mpandalume kuwa Rais wa mpito
wa serikali hiyo hadi hapo uchaguzi mkuu utakapofanyika
Juni mosi mwaka huu.
Rais aliyepinduliwa anadaiwa kutumia madaraka yake
vibaya kwa kuwakandamiza wanafunzi wenzake kwa
kushirikiana na uongozi wa chuo.
Aidha anatuhumiwa kwa ufujaji wa fedha za wanafunzi
ambapo anadaiwa kutumia sh milion 7 za michango ya
wanafunzi kununulia gari yake ya kutembelea.
Mpaka sasa Rais huyo hajulikani alipo kwani baada ya
kupinduliwa alitoweka eneo la chuo.
Monday, 1 June 2015
Wanachuo wapindua Serikali yao UDOM.
Related Posts:
'Sugu' Amlipua Zitto Kabwe Ni katika Hotuba yake ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo aliyoiwasilisha Bungeni leo hii muda mfupi uliopita. Waziri Kivuli Joseph Osmundi Mbilinyi aka Sugu amemtaja Zitt… Read More
Muongozaji wa Filamu Nchini, George Tayson afariki dunia..... Muongozaji wa Filamu Nchini Tanzania George Tyson,afariki dunia kwa ajali mbaya.Director huyo Mwenye Asili ya Kenya anaye fanyia shughuli zake nchini Tanzania amejizolea Umaarufu Mkubwa nchiniTanzania kwa Kuongoza baadhi ya… Read More
Mwigulu Nchemba aamrishwa kuvua Skafu mara moja ndani ya ukumbi wa Bunge Mwigulu Nchemba ni mpenda sifa sana.Anadhani kila mwananchi anaipenda skafu yake na hivyo kumuonyesha kuwa mbunifu na wa kipekee. Awe anaheshimu mahali anapokuwa kama Bungeni, Mahakamani,kanisani na kwingineko… Read More
BREAKING NEWS:Mwanafunzi Chuo kikuu cha DSM afariki akiwa katika Usingizi mzito Kwa habari zilizotufikia hivi punde kutoka Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam ni kwamba mwanafunzi wa Chuo hicho ambaye ni binti mdogo sana anaeitwa HAPPY SEKABENGA,aliyekuwa anasoma degree ya BCOM in ACCOUNTING mwak… Read More
Wabunge wa upinzani watoka bungeni baada ya CCM kuilinda Wizara ya Nishati na Madini Jioni hii katika bunge la Bajeti Mweshimiwa Mbowe ameongoza kambi ya Upinzani kutoka Bungeni kwa kila anachodai wabunge wa CCM wanajaribu kuficha uovu wa Wizara ya Nishati na Madini na Kujadili mazuri tu kuhusu … Read More
Mmmmh
ReplyDelete