Facebook

Tuesday, 11 November 2014

Baada ya kutimuliwa Man United,Moyes apata ulaji Spain.

 David Moyes
Kocha David Moyes ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya Real Sociedad ya Spain .
Ikiwa imepita miezi 6 tangu Kocha huyo atimuliwe na Manchester United.David Moyes ambaye alishindwa kuvaa vyema viatu vya Sir Alex Ferguson amepewa mkataba Wa mwaka mmoja na nusu kuinoa timu hiyo ya Real Sociedad.Bila shaka hiyo ni fursa nzuri kwa Moyes kurudisha makali yake kwenye kazi yake ya ukocha.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment