Salama Jabir amepata shavu la kuonekana
kwenye Tv tena akihost kipindi cha Tujuane
ambacho kitakuwa kinaonekana kupitia
televisheni ya Kenya. Katika kipindi hicho cha
Tujuane Salama Jabir atakuwa akishirikiana na
mtangazaji wa Kenya Malonzi.
Kipindi hicho ambacho kitaanza kurushwa
kupitia Dstv, Maisha Magic Pamoja na channel
161 kitakuwa kikihusu mahusiano na hasa
wale watu wanaotafuta mahusiano.
Wednesday, 12 November 2014
Salama aula DSTV
Related Posts:
Picha,Mtindo Mpya Wa Nywele Wa Mike Sonko Katika Kumpa Ushirikiano Rais Uhuru Kenyatta. Tunapozungumzia fashion ya mwanasiasa au kiongozi wa raia sehemu yeyote duniani mara nyingi tunatazama mavazi na muonekano wa heshima mbele za watu. Kwa Seneta wa Nairobi Mike Sonko hio ameweza kufanya na kuongeza swaga … Read More
Safari ya Uturuki yataka kumuua Mzee Mjuto MSANII wa maigizo na filamu nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ ameeleza kuwa, kwa furaha aliyonayo baada ya kupata safari ya kwenda Uturuki imemfanya ajisikie kufa kwani ni bahati ambayo hakuitarajia.zee Majuto a… Read More
Wema, Diamond Wachafua Hali ya Hewa JAMBO limezua jambo. Pamoja na kuanza kwa kishindo safari yake ya kuelekea Afrika Kusini ‘Sauz’ kwa ajili ya fainali za kuwania Tuzo za MTV Africa (MAMA), mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na baby wake, Wema … Read More
Yakufahamu Kuhusu Kura Za Tuzo Za BET Kupitia Tovuti Ya Radio V101.9 Hii link iliyosamba kwenye mitandao ni link ya radio station maarufu unayofuatilia tuzo na kuamua kufanya utafiti wao wenye wa kujua msanii yupi ataweza kushinda. Kupitia twitter,Instagram na Facebook umekutana na … Read More
Mapenzi ya Rihanna na Drake Yadaiwa Kwenda Likizo kwa Mara Nyingine Imeripotiwa kuwa Drake na Rihanna ambao walionekana kurudisha mapenzi yao kwa miezi michache iliyopita, inasemekana wawili hao wamerudi tena likizo ya mapenzi. Chanzo kimeiambia US Weekly kuwa Riri na Drizzy walikuwa na … Read More
0 comments:
Post a Comment