Memphis Depay amekamilisha vipimo vya afya Old Trafford siku ya jana Jumatatu. Kwa mujibu wa tovuti ya Man Utd, klabu hiyo sasa itashughulikia kukamilisha usajili wakati dirisha la usajili la kimataifa litakapofunguliwa mwezi Juni.
Tuesday, 19 May 2015
Memphis Depay afuzu vipimo vya afya Old Trafford.
Related Posts:
Di Maria awasili Manchester .Mchezaji Angel Di Maria amesha wasili katika viwanja vya AON training Complex,na anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya jioni yaleo ambapo kwa mida ya nchini Uingereza itakua mchana,baada ya hapo atakaachini na uongozi wa Man … Read More
BALOTELLI AJIUNGA RASMI LIVERPOOL Mshambuliaji wa Italia, Mario Balotelli, 24, amekamilisha uhamisho wake kutoka AC Milan kwenda Liverpool kwa pauni milioni 16. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester City, amekubali mkataba wa muda mrefu, ingawa hatoweza kuch… Read More
Manchester United yavunja rekodi ya Usajili kwa Di Maria. Manchester United wamekubali kutoa pauni milioni 59.7 kumsajili Angel Di Maria kutoka Real Madrid, na kuvunja rekodi ya uhamisho ya Uingereza. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina, 26, yuko mjini Manchester na atafanya vi… Read More
Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya na BantuTz SPORTS.>Boss wa Manchester United Louis van Gaal anataka kumsajili kiungo wa Juventus Arturo Vidal, 27, kwa mkataba wa pauni milioni 34 kiasi ambacho kitafikisha pauni milioni 200 za kununua wachezaji Old Trafford katika kipindi … Read More
Tetesi za Usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya na BantuTz SPORTS.>Manchester United wamekamilisha majadiliano na Real Madrid na watalipa pauni milioni 63.9 na kuvunja rekodi ya Uingereza kumnunua winga Angel Di Maria (Sky Sports), >Mchezaji huyo kutoka Argentina huenda akafikia kuuzw… Read More
0 comments:
Post a Comment