VYOMBO vya habari nchini Italia, vimeripoti kuwa Silvio Berlusconi
amethibitisha kuwa atamtimua meneja wa AC Milan Filippo Inzaghi
mwishoni mwa msimu baada ya matokeo yasiyoridhisha.
Berlusconi ambaye ndiye mmiliki wa timu hiyo amesema Inzaghi
amekuwa na mahusiano mazuri na kikosi chake lakini mara kadhaa
wamekuwa wakipishana kutokana na maono tofauti.
Bilionea huyo aliendela kudai kuwa jambo in kitu ambacho wanataka
kuzungumza na kocha huyo muda ukifika kabla ya kuamua cha
kufanya.
Berlusconi amesema kwasasa wanajipanga na tayari wameshapata
majina kadhaa ya makocha kama wakishindwa kufikia muafaka na
Inzaghi.
Tuesday, 19 May 2015
SAFARI YA INZAGHI YANUKIA AC MILAN.
Related Posts:
Chelsea yarusha ndoano kwa Gundogan.Timu ya chelsea inatajwa katika mbio za kuhitaji saini ya mchezaji IIkay Gundogan kutoka Dortmund lakini taarifa zinasema mchezaji huyo yupo katika mazungumzo na vilabu vingine vya Barcelona, Manchester United.Bayern na Ars… Read More
Yaya Toure 'Siondoki Man City'Mchezaji Yaya Toure amethibitisha kuendelea kukipiga Manchester City msimu ujao, na anafuraha na heshima kwake kuendelea kuwepo Etihad pamoja na kuwepo na uvumi wa kuhamia timu ya Inter Milan ya Italy.Kiungo huyo miaka 32 … Read More
Man City yamnyatia Isco.Manchester City inataka kupata saini ya kiungo wa Real Madrid Isco. Mchezaji huyo miaka 23 hajui hatima yake Santiago Bernabeu baada ya ujio wa meneja mpya Rafa Benitez.Isco alijiunga na Real Madrid kwa ada ya Euro milioni30 … Read More
Van Persie hatihati kusalia Man United Mshambuliaji wa Manchester United Robin van Persie amekubali kuondolewa Old Trafford baada ya kupitia magumu msimu huu.Mshambuliaji wa Manchester United ana mwaka mmoja tu wa kumaliza mkataba wake wa sasa.Van Persie ana ma… Read More
Tetesi zote za Usajili wa wachezaji barani Ulaya siku ya leo.Dau la Manchester United la pauni milioni 110 kwa Real Madrid kumtaka Gareth Bale, 25 na beki Rafael Varane, 22 limekataliwa na klabu hiyo ya La Liga (Daily Express), Real Madrid wana uhakika wa kumsajili kwa pauni m… Read More
0 comments:
Post a Comment