VYOMBO vya habari nchini Italia, vimeripoti kuwa Silvio Berlusconi
amethibitisha kuwa atamtimua meneja wa AC Milan Filippo Inzaghi
mwishoni mwa msimu baada ya matokeo yasiyoridhisha.
Berlusconi ambaye ndiye mmiliki wa timu hiyo amesema Inzaghi
amekuwa na mahusiano mazuri na kikosi chake lakini mara kadhaa
wamekuwa wakipishana kutokana na maono tofauti.
Bilionea huyo aliendela kudai kuwa jambo in kitu ambacho wanataka
kuzungumza na kocha huyo muda ukifika kabla ya kuamua cha
kufanya.
Berlusconi amesema kwasasa wanajipanga na tayari wameshapata
majina kadhaa ya makocha kama wakishindwa kufikia muafaka na
Inzaghi.
Tuesday, 19 May 2015
SAFARI YA INZAGHI YANUKIA AC MILAN.
Related Posts:
Patrice Evra asaini mkataba wa mwaka mmoja Man Utd BEKI mfaransa, Patrice Evra ameongeza mkataba wa mwaka mmoja Manchester United , klabu imethibitisha. Evra alitazamiwa kuondoka baada ya United kuweka ofa ya paundi milioni 27 kwa beki wa kushoto w… Read More
Brenden Rodgers aongeza mkataba Liverpool !! Brendan Rodgers ametia sahihi ya mkataba mpya wa muda mrefu kuwa mkufunzi wa timu ya Liverpool iliyomaliza yapili msimu uliopita. Rodgers ambaye alichu… Read More
Samuel Eto’o, Lampard, Cole na Mtanzania Nditi kuachwa na Chelsea May 23 2014 inaingia kwenye historia hata kwa Watanzania wenyewe manake kuona mkali wetu ameachwa kwenye kikosi cha Chelsea msimu ujao sio habari njema. Kwa mujibu wa tovuti ya Premier League, Frank Lampard A… Read More
Usajili na tetesi zake England *Moyes atakiwa akawanoe mabingwa wa Scotland *Balotelli kurudi EPL, QPR wawataka Rio, Lampard WAKATI dirisha la usajili wa majira ya kiangazi likiwa wazi hadi Agosti, timu zimeanza kupigana vikumbo kutafuta wachezaj… Read More
Pochettino achaguliwe kuwa kocha mkuu wa Tottenham Pochettino amekubali kandarasi ya kuwa kocha wa Tottenham Tottenham Hotspur wamemwajiri Mauricio Pochettino kama mkufunzi wao mpya kwa mkataba wa miaka 5. Pochettino anachukua nafasi ya kocha aliyefutwa kazi Tim Sherw… Read More
0 comments:
Post a Comment