KLABU ya Southampton inatarajia kutaka kitita cha paundi milioni
25 kwa ajili ya kiungo Morgan Schneiderlin mbaye anawindwa na
klabu za Arsenal na Tottenham Hotspurs.
Klabu hizo zinazotoka kaskazini mwa jiji la London, zote zimeonyesha
nia ya kumtaka kiungo huyo lakini Southampton wamedai
hawatamuachia chini ya kiwango hicho
. Southampton waligoma kupokea ofa yeyote kea ajili ya Schneiderlin
kiangazi mwaka jana, wakati mchezaji huyo alipojaribu kulazimisha
kuhamia Spurs.
Klabu hiyo imepania kufanya kama usajili wa kiangazi mwaka jana
ambapo walikunja kitita cha paundi milioni 25 kwa ajili ya Adam
Lallana na paundi milioni 20 kwa Dejan Lovren ambao wote
walikwenda Liverpool.
Arsenal wamepanga kutuma ofa ya paundi milioni 20 kea ajili ya
Schneiderlin wakati Spurs wao wako tayari kutoa kitita cha paundi
milioni 15.
Tuesday, 19 May 2015
Schneiderlin mbioni kuondoka Southampton kwa dau la Paundi Milioni 25.
Related Posts:
Louis Van Gaal kwenye mkutano wake na waandishi wa habari.Na hiki ndicho alichokisema..!!! Louis van Gaal kwenye mkutano na waandishi wa habari Old Trafford: "Nitafanya jitihada zote kwenye hii timu kubwa duniani. Ndani ya siku 2 tayari nimeshajua umuhimu wa Manchester United." "Nimefundisha Ajax timu … Read More
Toni Kroos atua rasmi Madrid. Kiungo wa Bayern Munich Toni Kroos amejiunga rasmi na Real Madrid kwa mkataba wa miaka sita kwa kitita ambacho hakikutajwa. Kroos, 24, alikuwa mchezaji muhimu katika kikosi cha Ujerumani kilichoishinda Argentina… Read More
Ferdinand asajiliwa rasmi QPR Beki wa zamani wa Manchester United Rio Ferdinand, 35, amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea QPR. … Read More
Tetesi za Usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Chelsea wapo tayari kumuuza John Obi Mikel, 27, wakati wanapanga kumnyatia kiungo wa Real Madird Sami Khedira, 27 ambaye pia anatakiwa na Arsenal (Daily Express), Arsenal wanatarajia kuthibitisha siku … Read More
Filipe Luis rasmi Chelsea Chelsea na Atletico Madrid wamekubaliana dili la £35m kwa ajili ya huduma ya beki wa kushoto, mbrazil Filipe Luis ambaye atachukua nafasi ya mkongwe Ashley Cole aliyetimkia klabu ya Roma ya Italia. Filipe mwen… Read More
0 comments:
Post a Comment