Ufisadi wa dola 250m (zaidi ya 400bn) umetikisa nchi kwa kuikosesha takribani miradi ya sh 3trilion.Imefahamika kwamba Kampuni ya PAP ilipewa dola 122m (200bn), na kusaini makubaliano kikao cha kunduchi beach hotel tarehe 8 oktoba 2013 kuwa kiasi kilichobaki (128m au zaidi ya 200bn), PAP watalipwa kila mwezi bilioni 8 mpaka deni kwisha.
Kampuni hii ya PAP iliyopewa tuzo hiyo ya Bilioni 400 kwa kuwekeza milioni 6 Tsh tu ni ya nani? Kwa mujibu wa nyaraka za BRELA, 50% inililiwa na Singh Sethi(singasinga) na mwanae na asilimia 50% zinamilikiwa na kampuni ya Simba Trust ya Australia.
Simba trust ni nan.? Uchunguzi umeonesha kuwa Simba trust ya Australia inamilikiwa na watu wawili ambao ni salima Kikwete na Miraji Kikwete.
Uwepo wa majina haya mawili kama wamiliki wa PAP inatafsiriwa kuwa ndio sababu kuu ya Jakaya Kikwete kuvuta miguu huku nchi ikiumia.
Kwa mkataba huu wa IPTL wa milioni 100 wa miaka 20 (1995-2015), umeongezwa miaka mingine 20 (2013-2033)kwa kuzalisha 500MW.
Kwa mujibu wa mkataba huu, kampuni ya PAP italipwa 400m kila siku kama capacity charges . Maana yake singasinga mwenye 50% atapata 200m kila siku. Na watoto wawili wa JK watapata kila mmoja 100m kila siku hadi 2033.
Uwepo wa familia ya JK kwenye ufisadi huu inadaiwa ndio Kinga ya wahusika ; Muhongo, Werema, Maswi, Mramba, Likwilile na hata waziri mkuu kutetea
Ushahidi unakwenda kuonesha kuwa hata uamuzi wa Gavana kuruhusu fedha hiyo itoke kimakosa ni baada ya kupata MEMO kutoka Katibu wa rais Bw Mbena ikisema Rais kaelekeza.
Na ni sababu hiyo pia baada ya Dr Hosea kuwasilisha report kwa raisJakaya Kikwete alisoma na kumjibu achana nayo na ndio maana mpaka sasa report hiyo haijapelekwa kwa DPP ili.wahusika wafikishwe mahakamani.
Ukweli utasimama!
Wednesday, 12 November 2014
FAMILIA YA KIKWETE YAHUSIKA NA UFISADI WA ESCROW.
Related Posts:
Mtanzania anayekuja kuiokoa Dunia.Huyu ni kijana mwenye uwezo mkubwa,BantuTz imeona sio mbaya kukuletea makala kuhusu kijana huyu ambaye kwa namna moja au nyingine anaweza akawa mfano wa kuigwa na vijana wengine. Jambo moja ambalo wanafunzi waliosoma naye nch… Read More
Ajali mbaya sana ya mabasi yatokea Sababa-Musoma Habari zilizotufikia hivi punde kutoka kwa ripota wetu aliyeko Musoma-Mara,Mr.Japhet Daudi ni kwamba; Ajali mbaya sana imetokea eno la Sabasaba,Musoma-Mara.Ajali hiyo imehusisha mabasi mawili;Mwanza Coach na J4 Expres… Read More
NACTE yatoa Orodha ya Vyuo ambavyo havijapeleka matokeo kwa ajili ya Usaili wa Wanafanzi Vyuo vifuatavyo havijaleta matokeo kwa ajili ya kusaidia usaili wa wanafunzi wao: ABDO COLLEGE AGAPE COLLEGE DAR ES SALAM AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT-BAGAMOYO APTECH WORLWIDE UNIQUE ACADEMY Archbishop… Read More
Tamasha la Fiesta Musoma lahairishwa baada ya Ajali Mbaya ya mabasi.Tamasha la Fiesta lililokua lifanyike leo hapa Musoma limeahirishwa kutokana na ajali kubwa ya magari yakiwemo Mabasi mawili yaliyogongana uso kwa uso na gari jingine dogo kutumbukia mtoni eneo la Sabasaba ambapo taarifa zis… Read More
Dr. Harryson Mwakyembe atoa tamko kuhusiana na ajali ya jana Musoma.Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mu… Read More
0 comments:
Post a Comment