Monday, 14 April 2014
AJALI YA KUTISHA YATOKEA MAKONGO
Leo hii mida ya asubuhi ajali mbaya sana imetokea eneo la Lugalo,Makongo.
Baada ya magari kusimamishwa, kuruhusu wanafunzi waweze kuvuka barabara ghafla Lori lilishindwa kusimama kutokana na spidi iliyokuwa nayo hivyo kusababisha kwenda kingo za barabara na kuliangukia gari ndogo lililokuwa pembeni aina ya Toyota Cresta ''GX100''
Related Posts:
Lowassa ahairisha kuchukua fomu ya kugombea UraisMbunge wa Monduli ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa amaeahirisha kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi hadi siku ya kesho ambayo ni alhamisi. Hadi sasa mwanasiasa a… Read More
Wabunge wauaga mwili wa Mwaiposa Dodoma Waziri mkuu wa Tanzania Mh Mizengo Pinda leo amewaongoza wabunge wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Ukonga jijini Dare s salaam Marehem Eugen Mwaiposa, aliyefariki ja… Read More
Muigizaji mkongwe Mzee Jangala kutangaza nia ya kugombea Uraisi 2015Mkongwe wa filamu hapa nchini, Bakari Mbelemba maarafu kwa jina la Mzee Jangala ameweka wazi kua atatumia tamasha la ngoma za asili kutangaza nia yake ya kugombea uraisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Tamasha hilo amab… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kurasa zote za magazeti yote ya leo. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
Makamu wa Rais Dkt. Bilal achukua fomu za kuwania urais 2015 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisani moja ya fomu za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati alipofika Makao Makuu ya CCM mkoani Dodoma leo … Read More
0 comments:
Post a Comment