Jackei Cliff ambaye anaskendo za kukamatwa na madawa ya kulevya huko China,December 2013 zilitoka stori kwamba
Mtanzania Jackie Cliff ambae ni mrembo aliewahi kutokea kwenye video
kadhaa za wasanii wa bongofleva amekamatwa na dawa za kulevya huko
China.Jackie Cliff ambaye inasemekana ni mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva,Jux ambaye amehojiwa baada ya picha kadhaa kusambaa akitengeneza video yake mpya huko China na mrembo
ambae hajaonekana sura, ishu ambayo imefanya wengi wahisi kwamba ni
Jackie Cliff.
Jux amedai kwamba hiyo video hajafanya na Jackie Cliff na kusisitiza kwamba kutomuweka Jack kwenye
hiyo video ni kutokana na sababu zake binafsi na wala hataki kuzungumza
zaidi kuhusu hizo ishu.
Jux "‘siwezi kusema ila kama atakuepo kwenye video au hatokuepo… ni watu wenyewe wataona’"
Jux VILEVILE amekanusha
stori za kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Vanessa Mdee ‘V money’ kwamba
ni rafiki yake tu ila hakuna kingine cha zaidi ya urafiki wa kawaida waliokuwa nao.
Monday, 14 April 2014
JUX AWEKA WAZI KUHUSU TETESI ZILIZOZAGAA KUFANYA VIDEO NA JACK CLIFF
Related Posts:
Nicki Minaj Kwenye Kurasa Ya Mbele Ya Jarida La Rolling Stone huku albamu yake ya ‘The Pinkprint’ ikishika #2 kwenye Billboard Imekuwa ni wiki ya rappa Nicki Minaj ambaye ameweza kushika vichwa vya habari akitangaza album yake mpya ‘The Pink Print’ .Wiki hii Minaj ameng’ara kwenye kurasa ya mbele ya jarida la Rolling Stone toleo la January… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 29 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika … Read More
Patcho Mwamba apokea kichapo kizito baada ya kufumaniwa na mke wa mtu Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dansi Patcho Mwamba, amepewa kipigo cha nguvu hadi kumvimbisha uso kama unavyomuona hapo juu, baada ya kufumaniwa na mke wa mtu. Habari hizi zinaenea … Read More
Kampuni ya Sony yamfurahisha Rais Obama. Rais wa Marekani amelipokea kwa furaha tangazo la kampuni ya Sony kuamua kuonyesha filamu ya kuchekesha yenye utata 'The Interview Filamu hiyo itaoneshwa katika baadhi tu ya kumbi za sinema nchini Marekani mnamo siku… Read More
Mama Kanumba: Krismasi Kwangu ni Mbaya Mama Kanumba: Krismasi Kwangu ni Mbaya FLORA Mtegoa ambaye ni mama wa marehemu Steven Kanumba, amesema kuwa Sikukuu ya Krismasi kwake imekuwa mbaya kutokana na kifo cha mama yake mza… Read More
0 comments:
Post a Comment