Jackei Cliff ambaye anaskendo za kukamatwa na madawa ya kulevya huko China,December 2013 zilitoka stori kwamba
Mtanzania Jackie Cliff ambae ni mrembo aliewahi kutokea kwenye video
kadhaa za wasanii wa bongofleva amekamatwa na dawa za kulevya huko
China.Jackie Cliff ambaye inasemekana ni mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva,Jux ambaye amehojiwa baada ya picha kadhaa kusambaa akitengeneza video yake mpya huko China na mrembo
ambae hajaonekana sura, ishu ambayo imefanya wengi wahisi kwamba ni
Jackie Cliff.
Jux amedai kwamba hiyo video hajafanya na Jackie Cliff na kusisitiza kwamba kutomuweka Jack kwenye
hiyo video ni kutokana na sababu zake binafsi na wala hataki kuzungumza
zaidi kuhusu hizo ishu.
Jux "‘siwezi kusema ila kama atakuepo kwenye video au hatokuepo… ni watu wenyewe wataona’"
Jux VILEVILE amekanusha
stori za kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Vanessa Mdee ‘V money’ kwamba
ni rafiki yake tu ila hakuna kingine cha zaidi ya urafiki wa kawaida waliokuwa nao.
Monday, 14 April 2014
JUX AWEKA WAZI KUHUSU TETESI ZILIZOZAGAA KUFANYA VIDEO NA JACK CLIFF
Related Posts:
Jay Z kumwaga pesa katika honey moon ya Kanye West.......... Jay Z ameripotiwa kumwambia rafiki yake wa karibu kuwa yeye na mkewe Beyonce Knowles na mtoto wao hawatahudhuria katika ndoa ya swahiba wake Kanye West itakayofanyika mwezi ujao jijini Paris Ufaransa.Sababu za kutohu… Read More
Unakijua alichokisema Prof Jay kuhusu Diamond kuelekea tuzo za MTV Africa........... Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kufahamu kauli mbalimbali za wasanii na maisha yao kiujumla.... … Read More
Diamond amshushua shabiki huko twitter..... Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, makubwa yamkuta follower mmoja wa msanii marufu hapa Tzee Dangote aka Diamond Platnumz, baada ya Diamond kupost picha yake nzuri tu, huku aki-show off tattoo zake, basi ishu ilikuwa… Read More
Soma historia nzuri inayovutia ya shujaa huyu wa bongo fleva ambaye wengi wamemsahau..... James Dandu ‘Mtoto wa Dandu’ (kushoto katika picha) enzi za uhai wake. JAMES Dandu ‘Mtoto wa Dandu’ siyo jina geni katika gemu la Bongo Fleva lakini ni wangapi wanamkumbuka na wanautambua mchan… Read More
Dj Fetty auanika mjengo wake mtandaoni....ni noma sana......... Leo kupitia mtandao wa instagram, Fatuma al-maarufu kama Dj Fetty ameuweka hadharani mjengo unaosadikika kuwa ni wake ukiwa katika hatua za ujenzi (bado unaendelea … Read More
0 comments:
Post a Comment