Paul Pogba ana miaka 22, ni mmoja kati ya wachezaji wenyewe umri
mdogo sana wanaotarajiwa kucheza kwenye fainali ya UEFA June
6.Paul Pogba akifanikiwa kushinda ubingwa wa UEFA atakua mmoja
kati ya wachezaji waliowai kushinda kombe hili wakiwa on form na
umri mdogo.
Mchezaji aliyewai kushinda UEFA Champions akiwa na umri mdogo ni
António Simões akiwa na Benfica ambapo waliifunga Real Madrid
May 2 1962 akiwa na miaka 18 na siku 139.
Monday, 1 June 2015
Pogba kuweka rekodi ya kipekee.
Related Posts:
Dondoo muhimu kuhusiana na kombe la dunia..! Je wafahamu kuwa....... Kila Kombe la Dunia lina taswira yake ya kipekee. Tarswira hiyo huoneshwa kupitia nembo maalum. Nembo hiyo rasmi ya Kombe la Dunia huwakilisha michuano yenyewe na nchi inayoandaa michuano hiyo … Read More
Hatimaye Cameroon waelekea Brazil Hatimaye The Indomitable Lions ya Cameroun waabiri ndege ya Brazil Cameroon sasa wameenda Brazil baada ya mzozo kuhusu marupurupu yao kutatuliwa. Wachezaji hao , almaarufu 'Indomitable Lions' walikuwa wamesusia kuing… Read More
Sepp Blatter:Wabaguzi ndio wanapinga Qatar Rais wa shirikisho la kandanda duniani, FIFA, Sepp Blatter. Mkuu wa shirikisho la kandanda, FIFA, Sepp Blatter amesema madai ya rushwa katika uchaguzi wa Qatar kuwa mwenyeji wa kombe la dunia 2022 yamechochewa na hi… Read More
RATIBA YA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA KWA MASAA YA AFRIKA MASHARIKI Hapa ni kwa masaa ya kawaida nyumbani east Africa....fahamu muda gani timu uipendayo itashuka dimbani Group AGroup BGroup CGroup DGroup EGroup FGroup GGroup H BrazilSpainColombiaUruguaySwitzerlan… Read More
Kinachojiri nchini Brazil kabla ya Kombe la dunia kuanza..! Ikiwa imebakia siku moja kabla ya michuano ya kombe la dunia ambayo ni mikubwa kabisa kwa upande wa soka ikiwa inayovutia mabilioni ya watazamaji duniani kuanza –www.bantutz.com itakuwa inakuletea yote yanayojiri nchini… Read More
0 comments:
Post a Comment