Facebook

Monday, 1 June 2015

TEGETE NA NIZAR KUKIPIGA MWADUI


MSHAMBULIAJI Jeryson Tegete na kiungo Nizar Khalfan wamesajiliwa na timu mpya iliyopanda ligi kuu soka Tanzania bara msimu ujao, Mwadui fc.
Kocha mkuu wa Mwadui, Jamhuri Musa Kihwelo 'Julio' amethibitisha kuwasajili wachezaji hao waliotemwa na Yanga na kila mmoja amesaini mkataba wa mwaka mmoja.
Julio amesema bado anaendelea kufanya mazungumzo na wachezaji wengi wenye uzoefu ili ligi ikianza kikosi chake kiwe na makali ya kutisha

Related Posts:

  • Man City yamuwekea dau Alex SongManchester City imeonyesha nia ya kupata huduma ya mchezaji wa Barca Alex Song ambaye msimu huu alikuwa akicheza kwa mkopo timu ya Westham inayoshiriki.Alex aliyerudi nyumbani Barcelona anaweza kuuuzwa jumla na kujiunga na … Read More
  • Juventus yamnasa mshambuliaji hatari Paulo Dybala Mabingwa wa ligi kuu ya Italia Juventus leo hii wamethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Paulo Dybala kutoka katika klabu ya Palermo kwa kitita cha euro milioni 32. Mshambuliaji huyo mwenye umri … Read More
  • Benitez amtaka Laurent KoscielnyKocha mpya wa Real Madrid Benitez anataka kumsaini beki wa Arsenal Laurent Koscielny. Ni imani ya kocha wa zamani wa Liverpool na Chelsea atampata Mfaransa huyo kuwa msaidizi wa Sergio Ramos katika ulinzi. Koscielny alisai… Read More
  • Dante atakiwa Man United.Mchezaji wa kimataifa wa Brazil Dante anatakiwa na timu ya Manchester United kwenda Old Trafford msimu huu. Timu ya Manchester ipo tayari kumpa mkataba mchezaji huyo kujiunga na mashetani hao.Lakini mchezaji mwenyewe Dante am… Read More
  • Skrtel akataa kusaini kataba mpya Liverpool.  Beki wa klabu ya Liverpool Martin Skrtel amefichua kuwa bado hajasaini mkataba mpya na klabu hiyo kama ambavyo inaripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini England pamoja na nyumbani kwao huko Slovakia. Skr… Read More

0 comments:

Post a Comment