Facebook

Tuesday, 11 November 2014

KUELEKEA TUZO YA MCHEZAJI BORA DUNIANI:RONALDO AENDELEA KUMPIKU MESSI

                 Mchezaji bora wa Dunia Christiano Ronaldo ametwaa Tuzo mbili za ligi kuu ya spain mchana wa leo.Ronaldo ambaye mpaka sasa anaongoza kwa magoli katika ligi ya Spain amechukua Tuzo ya
mfungaji bora Spain maarufu kama Pichichi na Tuzo ya heshima ya gwiji Di Stefano.Ronaldo amechukua Tuzo ya pichichi baada ya kuibuka mfungaji bora msimu uliopita.Kwa Tuzo hizo Ronaldo anaendelea kujihakikishia nafasi ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia na kumbwaga mpinzani wake wa karibu Leonel Messi

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment