Mchezaji bora wa Dunia Christiano Ronaldo ametwaa Tuzo
mbili za ligi kuu ya spain mchana wa leo.Ronaldo ambaye mpaka sasa
anaongoza kwa magoli katika ligi ya Spain amechukua Tuzo ya
mfungaji bora Spain maarufu kama Pichichi na Tuzo ya
heshima ya gwiji Di Stefano.Ronaldo amechukua Tuzo ya pichichi baada ya
kuibuka mfungaji bora msimu uliopita.Kwa Tuzo hizo Ronaldo anaendelea
kujihakikishia nafasi ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia na
kumbwaga mpinzani wake wa karibu Leonel Messi
Tuesday, 11 November 2014
KUELEKEA TUZO YA MCHEZAJI BORA DUNIANI:RONALDO AENDELEA KUMPIKU MESSI
Related Posts:
Mwanariadha mwenye asili ya kiafrika aemjiondoa kutoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola Mo Farah hatoshiriki mashindano ya jumuiya ya madola huko Glasgow Mwanariadha raia wa Uingereza mwenye asili ya Somalia, Mo Farah amejiondoa kutoka mashindano ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, Scotland. Bingw… Read More
Wanariadha wa Kenya walalamika Scotland. Wanariadha wa Kenya wakiwa mjini Glascow Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola, yanayoendelea mjini Glascow, kinakabiliwa na wakati mgumu, kutoka na matatizo kadhaa. Sasa imebai… Read More
Uhasama kati ya Israel na Palestina waendelea hadi kwenye soka,Wanamgambo wavamia Uwanjani na kuanza "kuzichapa"Waandamanaji wanaowaunga mkono Wapalestina walivamia uwanja na kuanza kuwashushia kipigo wachezaji wa klabu ya Israel ya Maccabi Haifa iliyokuwa inacheza mechi ya kirafiki na klabu ya Lille ya huko Ufaransa.Mchezo huo ulikuwa… Read More
Kumi bora ya Usajii Ghali zaidi duniani. £86m - Gareth Bale (Tottenham kwenda Real Madrid) £80m - Cristiano Ronaldo (Manchester United kwenda Real Madrid) £75m - Luis Suarez (Liverpool kwenda Barcelona) £60m - James Rodriguez (Monaco kwenda Real Madrid)… Read More
Mchezaji wa Man City abaguliwa,timu yatoka uwanjani. Mchezaji katika mashindano ya vijana wenye umri wa miaka 21 wa klabu ya Manchester amelazimika kutoka nje ya uwanja k… Read More
0 comments:
Post a Comment