Facebook

Monday, 10 November 2014

Viongozi wa China na Japan wakutana kuzimaliza tofauti zao.

Rais wa Uchina, Xi Jinping na waziri mkuu wa Japan, Shinzo Abe wamefanya mazungumzo kwa mara ya kwanza tangu wote washike madaraka.
Mkutano wao unaonekana kama hatua ya ufanisis ya juhudi za kutatua taharuki iliyokuwepo kati ya nchi hizo kutokana na madai ya Japan kuthibiti visiwa katika bahari ya kaskazini mwa Uchina.
Baada ya dakika thelathini za mazungumzo Bwana Abe aliondoka na kusema kuwa hiyo ndiyo hatua ya kwanza ya kuboresha mahusiano.
Mkutano huo ulifanyika Beijing wakati viongozi kutoka katika maeneo ya Asia walikutana katika kongomano la kibiashara la APEC.

Related Posts:

  • Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani na kuyataka mataifa ambayo yaliahidi kutoa msaada wa zaidi ya dola millioni mia sita ku… Read More
  • Gaza:Makubaliano ya saa 12 yaheshimiwa Kiongozi wa Hamas na mwenzake wa Israel Serikali ya Israel na wapiganaji wa Hamas wameanza kutekeleza makubaliano ya kusitisha vita kwa masaa 12 katika … Read More
  • Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani na kuyataka mataifa ambayo yaliahidi kutoa msaada wa zaidi ya dola millioni mia sita ku… Read More
  • Mgonjwa wa Ebola asakwa Sierra Leone Mamlaka nchini Sierra Leone inataka usaidizi kutoka kwa raia wake ili kumsaka mgonjwa mmoja wa Ebola ambaye alichukuliwa kwa lazima na … Read More
  • Ebola yakaribia Nigeria Madaktari wanaokabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone Serikali ya Nigeria imesema kuwa imeweka hali ya tahadhari katika maeneo yote ya kuingia… Read More

0 comments:

Post a Comment