Facebook

  • Tutorial 1

    This is Trial

  • Tutorial 2

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • Tutorial 3

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Saturday, 31 May 2014

MBOWE Mnatuhalibia Chama, Chadema Inazidi Kupoteza Mvuto

Mimi nasema tena kuwa mimi nimwanachama hai wa CHADEMA, Nimemsema mh. Mbowe kwakuwa yeye ndiye mwenyekiti wetu na mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, haya yanayoendelea kukishushia heshma chama hayaoni? Dr. Slaa naye kama katibu wa chama hayaoni?. Ni aibu kubwa sana taasisi kubwa...

Akodi ngoma kumfumania mkewe akitoa penzi kwa rafiki yake..mtaa wafungwa

Na Dustan Shekidele, Morogoro AMA kweli dunia ina mambo na mambo yenyewe ndiyo haya! Katika hali ya kushangaza, mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Ally, mkazi wa Kata ya Mbuyuni Manispaa ya Morogoro amewashangaza wengi kufuatia uamuzi wake wa kukodi ngoma ya asili kwa lengo...

Kifo Cha George Tyson Chamliza Mboni Mwasimba,AY aonesha upendo wa dhati...

Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akilia kwa uchungu akiwa nje ya Hospitali ya Mkoa wa Morogoro wakati wakisubiri kusafirisha maiti kuelekea Dar. Marehemu Tyson ndiye alikuwa Mtayarishaji wa kipindi chake na walikuwa wote katika safari hiyo, ingawa walikuwa magari...

Penzi la Kitale a.ka Mkude simba na Penny lapamba moto.....

Juzi ilisambaa   picha ya KITALE (Kwasasa unaweza kumuita MKUDE SIMBA)  akiwa anapigwa kiss zito na PENNY lenye hisia kali (Daah mtoto P hadi akafumba macho).....Nikawaachia wadau wengi walishangaaa..Sasa leo tena mwanadada Penny Kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia hii.... Sina...

Kuna tetesi kuwa Beyonce ana uhusiano wa kimapenzi na bodyguard wake Julius De Boer

Wanandoa mastaa, Beyonce Knowles na Jay Z wamekuwa wakihudhuria sherehe mbalimbali licha ya kuwepo uvumi kuwa ndoa yao ipo matatani lakini tetesi hii inaweza kuwa kubwa zaidi kuwahi kusemwa. Kuna tetesi kuwa Beyonce amekuwa akimsaliti mumewe na kutembea na bodyguard wake Julius De...

Tumbaku 'dhahabu' ya Malawi

Malawi na Zambia ndio nchi zinazozalisha kiwango kikubwa cha Tumbaku Afrika Malawi ni miongoni mwa nchi zinazozalisha tumbaku kwa wingi duniani. Uchumi wa nchi hiyo iliyoko kusini mwa bara la Afrika unategemea kilimo cha zao hilo kwa asilimia 75. Ikiwa leo ni siku ya kutovuta tumbaku duniani,kila...

Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji mkubwa wa fedha kwenda nje. Msemaji wa kambi hiyo, John Mnyika alisema katika kipindi cha miaka 39 kuanzia 1970 hadi 2008, Sh9.6 trilioni zilitoroshwa kiharamu kwenda nje. “Utoroshaji wa fedha...

Mchawi mtanzania jela miaka 3 Kenya

Vifaa walivyopatikana navyo washukiwa walipokamatwa na polisi Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na kumuibia shilingi milioni tisa. Mchawi...

Irene Uwoya adhibitisha kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Msami !!!!!

  Jana May 28 kupitia You heard ya XXL Clouds FM ilikua ni stori kuhusu uhusiano wa Msami wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoya na jana alisikika Msami ambaye alikanusha uhusiano lakini mpenzi wake Rehema aliweka wazi kuwa ni kweli Msami ana uhusiano wa kimapenzi na Irene Uwoya. Sasa...

Google kufuta historia ya watu Ulaya

Google ina wasiwasi kuwa mataifa kandamizi yatafurahia sana amri ya mahakama Ulaya Kampuni ya Google inatarajiwa kuzindua huduma ambayo, itawawezesha raia wa Ulaya kuomba viambatanishi vya mitandao yenye taarifa kuhusu maisha yao...

LA Clippers yapata mmiliki mpya

  Shelly Sterling  aliekuwa mke wa zamani wa Donald Sterling ameiuza L.A. Clippers kwa aliekuwa CEO wa Microsoft Steve Ballmer kwa dolla billion 2. TMZ Sports imeripoti kuwa dili hiyo imesainiwa usiku kabla ya saa sita usiku wa alhamis.NBA lazima wathibitishe uuzwaji wa timu hiyo,...

Matamshi kuhusu ubakaji yakera India

Matamshi ya mwanasiasa mmoja mwanamke nchini India kuhusu ubakaji yamelaaniwa na watu wengi kote nchini humo. Asha Mirge, ambaye ni mwanachama wa kikundi cha viongozi wanawake serikalini katika jimbo la Maharastra, amesema kuwa...

Morogoro yamuaga George Tayson

     Baada ya hapo Jana kupata ajali mbaya ya gari.Mtayarishaji na mwongozaji wa vipindi vya filamu na vya runinga George Tayson aliyepata ajali jana eneo la Gairo,mkoani Morogoro. Na baadae mwili wake kuchukuliwa na kwenda kuhifadhiwa hospitali ya Morogoro. Leo hii watu mbali mbali...

Apple kuinunua Beats kwa dola bilioni 3

Kampuni kubwa ya teknolojia Apple imethibitisha kwamba itanunua vipokea sauti na huduma ya kusikiliza muziki kupitia kwenye mtandao wa inteneti kutoka kampuni ya Beats Electronics katika makubaliano ya dola bilioni 3. Hayo yakiwa ni makubaliano makubwa katika historia ya miaka 38 ya kampuni...

Umeisikia hii kutoka kampuni ya kutengenreeza magari aina ya Ford

Inawezekana ukawa mmiliki wa magari aina ya Ford ambay ni miongoni mwa kampuni kubwa za kutengeza magari nchini Marekani kwa sasa imeagiza magari milioni 1.4 yarejeshwe kutokana na hitilafu Hitilafu iliyotajwa ni ya usukani ambapo takriban magari milioni 1.1 yaliyoundwa kwa mtindo wa kispoti...

Uingereza yakemea hukumu ya kifo Sudan

Miriam Ibrahim na mumewe Viongozi wa kisiasa nchini Uingereza akiwemo waziri mkuu nchini humo wamekemea hukumu ya kifo iliopewa mwanamke mmoja wa kikristo kwa kukataa kubadili dini yake. Wameitaja hukumu hiyo kama ya kuudhi. Mwanamke huyo Mariam Ibrahim anazuiliwa...

Meli yalipuka Bandarini huko Japan...

   Mlipuko mkubwa umetokea kwenye meli kubwa ya mafuta nchini Japan katika Pwani ya Kusini Magharibi mwa bandari ya Himeji na kusababisha mtu mmoja kati ya wanane waliokuwa ndani ya meli hiyo kupotea huku wengine wanne wakijeruhiwa vibaya. Moto mkubwa ulilipuka katikati ya bahari ambapo...

Balloteli aidharau Uingereza kombe la dunia Brazil..

    Balloteli amesema timu ya taifa ya England haina uwezo wa kuchukua kombe la dunia, alisema:    "Siangalii England kama timu inayoweza kuchukua kombe la dunia. Wana wachezaji wazuri, lakini sioni kama wataweza kushindana na Italy. ‘Sisemi kwamba Italy watachukua ubingwa,...

Walichokiandika Vanessa Mdee,Ay,JokateM,HemedyPHD kuhusiana na kifo cha George Tyson

Jana usiku habari zilizoshtua watu wengi ni kuhusu kifo cha director mashuhuri George Tyson. Hivi sasa kuna taarifa ambazo hazijawahi kutolewa na hawa wahusika kuhusu marehemu Tyson. Zipo tano hadi sasa na zinatoka kwa watu mashuhuri kwenye kiwanda cha burudani. Jokate Mwegelo amesema kuhusu kazi...

Harusi ya Kim Kardashian na Kanye West yaweka rekodi ya dunia

Hadi sasa vituo vingi vya burudani wanaitaja kuwa ni harusi ya mwaka kutokana na stori kubwa zilizotengenezwa na harusi ya hawa wawili. Ukiachana na pesa zilizotumika na watu waliofika kwenye harusi hiyo, picha ya Kanye West na Kim K imekuwa picha  maarufu zaidi kwenye instagram hivi sasa. Tangu...

Maombi ya kumuombea Falcao yaanza kujibiwa Colombia....

      Nchini Colombia maombi ya kumuombea Rademel Falcao yanaonyesha kupata majibu mazuri baada mshambuliaji huyo kuanza mazoezi na wachezaji wenzie wa kikosi cha timu ya taifa ya Colombia.       David Beckham alivujika kwenye mechi ya Champions league...

Apelekwa Mahakamani kwa kesi ya kubaka, alipofika Mahakamani akataka kumbaka mtu tena

  Hii ni stori nyingine tena ya 2014 ambayo inaingia kwenye list ya zile stori ambazo ukishaisoma au kuipata unaanza kufikiria mara mbilimbili na kujaribu pia kutengeneza picha yako mwenyewe kama upo eneo la tukio. Watu wa karibu wa Mtuhumiwa huyu walijitokeza Mahakamani ili kuangalia kama...

China yakusanya hawa watu Uwanja wa Mpira na kuwahukumu kifo.

   Watu 55 nchini China wamekumiwa kutumikia adhabu mbalimbali kwa makosa ya ugaidi, uhalifu wa kutumia silaha pamoja na mauaji, hukumu iliyotolewa katika Jimbo la Kaskazini Magharibi la Xinjiang mbele ya umati mkubwa wa watu katika Uwanja wa mpira Kwa mujibu wa ripoti za shirika la habari...

Cristiano Ronaldo ajiunga na timu ya taifa,tazama jinsi alivyowasili

  Ni juzi tu May 29 2014 Cristiano Ronaldo ametajwa kushika namba moja kwenye list ya mastaa kumi wa soka ambao wanavutia kibiashara na kufanya kazi na makampuni makubwa ya kibiashara duniani. Hii post inahusu kuwasili kwa Ronaldo kwenye hoteli timu yake ya taifa ya Portugal ilikoweka...