Facebook

Saturday 31 May 2014

Ni begi na vilevile ni Usafiri....

  Salim Kikeke's photo.
Mkulima mmoja nchini China ametengeneza sanduku ambalo pia ni kama pikipiki.
Sanduku hilo lina matairi mawili, na linaweza kubeba watu wawili, na linaweza kwenda umbali wa kilomita 60 kwa kasi ya kilomita 20 kwa saa. Linatumia nishati ya betri. Mkulima huyo He Liang ametumia miaka 10 kuunda sanduku hili. Lina nafasi ya kutosha kuweka nguo na likiwa tupu lina uzito wa kilo 7.
Salim Kikeke's photo. Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kujua vioja mbalimbali vinavyotokea duniani

0 comments:

Post a Comment