Facebook

Saturday, 31 May 2014

Beyonce atupia picha akiwa analea mtoto nyumbani kwake

 
 Msanii maarufu wa Marekani Beyoncé ame 'share' picha za familia yake kwenye tovuti yake kuonesha upande wake kama 'mama' kutokana na wengi kuzoea kumuona kama muimbaji akishambulia jukwaa.
Katika picha hizi anaonekana akimbembeleza mwanaye Blue Ivy alale. Picha nyingine mwanaye huyo anaonekana akijaribu kuvaa viatu vya mama yake. Nyingine inaonesha baba wa Blue Ivy (ambaye ni Jay Z kama hujashtukia) akipiga misele kwa pikipiki. Nyingine anaonesha style yake ya rasta na mapozi ya kimtindo.
Bila shaka anatuonesha kuwa licha ya kuwa bize na kufyatua album na 'singo' nyingi, za 'kutisha' bado ana muda wa kulea na kuwa kama 'mama wa kawaida'. Hii unaweza ku- share na masharo.

 
 
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata stori mbalimbali zinazowahusu wasanii mbalimbali.

Related Posts:

  • Wema akana kuwa na Mimba ya Diamond !   Staa wa movie Tanzania a.k.a Mrs. Diamond Platnumz ameamua kuandika ukweli kuhusu stori ulizosikia kwamba kwa sasa ni mjamzito… Kupitia page yake ya instagram Wema ameandika ‘Jamani hizi habari za mimi kuwa pregn… Read More
  • Mwanamziki apasuliwa huku akiimba. Alama Kante afanyiwa upasuaji Katika tukio la kwanza la aina yake mwanamziki mmoja nchini Ufarasa amefanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe kooni huku akiimba. Madaktari wanasema hatua hiyo ilichukuliwa ili kuepuka kuharibu… Read More
  • Unamjua kidume anayemfaidi Agnes Masogange ? Kama mnavyojua dada yetu Masogange kwa muda sasa yupo nchini South Africa na amekuwa sio mchoyo wa picha zake, wakati wote amekuwa anashare nasi picha zake kupitia ukurasa wake wa Instagram Sasa mimi sijajua Sauzi… Read More
  • Lulu tena !  Si mwingine ni yule yule Elizabeth Michael A.k.A LuLu.....Hii ni moja ya picha zake zilizosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Normal 0 false false false EN-US X-NO… Read More
  • Gwiji Michael Schumacher atoka kwenye 'coma' Michael Schumacher alikuwa akitibiwa kwenye hospitali ya Chuo Kikuu cha Grenoble nchini Ufaransa. Bingwa wa Formula 1 Michael Schumacher ameondoka hospitali mjini Grenoble na hayupo tena kwenye coma, imeeleza f… Read More

0 comments:

Post a Comment