Facebook

Friday, 30 May 2014

Hii ndiyo orodha ya nyimbo atakazo sikiliza Wayne Rooney wakati wa Kombe la Dunia

article-2642291-1E4D3B3300000578-692_634x431Zikiwa zimebaki takribani wiki mbili kabla ya michuano ya kombe la dunia kuanza, mchezaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya England Wayne Rooney, leo ameshea playlist ya nyimbo atakazokuwa anasikiliza sana wakati wa michuano ya kombe la dunia nchini Brazil. Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, Rooney aliandika: “Hii ndio albam yangu kwa ajili ya World Cup, natumaini mtaifurahia.”
Katika listi hiyo wimbo wa kwanza kabisa ni wa mwanamuziki Beyonce alioshirikiana na mumewe Jay Z, Drunk In Love, msanii mwingine ambaye yupo kwenye listi hiyo ni Ed Sheeran, James Blunt na wengine wengi.
Listi ya nyimbo anazosikiliza Rooney kwa ajili ya World Cuparticle-0-1E492B5C00000578-543_634x554
article-0-1E492B8E00000578-238_634x514

Related Posts:

  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More
  • Hawa ndio washindi wa Tuzo za Grammy 2015 Tuzo za 57 za Grammy zilifanyika ambapo mwanamziki Sam Smith amewagaragaza wengine wote baada ya kuondoka na tuzo nne ikiwemo Record of the Year, Song of the Year, Best New Artist na  Best Pop Vocal Album. Bey… Read More
  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More
  • Mazishi ya baba wa Peter na Paul -P square yanafanyika leo   Wasanii waakubwa ambao ni mapachaPeter na Paul maarufu kama P-square kutoka Nigeria  wanataraji kumzika baba yao mzazi  Pa Mosses Okoye leo aliefariki november mwaka jana.   Mazishi hayo a… Read More
  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More

0 comments:

Post a Comment