Facebook

Saturday 31 May 2014

LA Clippers yapata mmiliki mpya

  Shelly Sterling  aliekuwa mke wa zamani wa Donald Sterling ameiuza L.A. Clippers kwa aliekuwa CEO wa Microsoft Steve Ballmer kwa dolla billion 2.

TMZ Sports imeripoti kuwa dili hiyo imesainiwa usiku kabla ya saa sita usiku wa alhamis.NBA lazima wathibitishe uuzwaji wa timu hiyo, lakini watoa habari wa karibu wamesema  kamishna wa NBA Adam Silver alikuwa najua kuhusu kuwepo kwa makubaliano kati ya Shelly na Ballmer na wengine waliokuwa na shauku ya kutaka kuinunua timu hiyo. 


Donald Sterling anasemekana kujaribu kuweka vikwazo lakini anaonekana kutaka kuleta changamoto katika uuzaji huo lakini anaonekana kufeli.

 Donald  alimpa Shelly jukumu lote juu ya timu hiyo, akimruhusu kuiuza timu hiyo, na hata akatuma barua kwa Silver akimtaarifu kuwa Shelly ana haki zote 
 
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali kutoka katika kila pande za dunua.Jukumu letu sisi ni kukuhabarisha

0 comments:

Post a Comment