Hapo ni magogoni area.Kama unaelekea kivukoni kabla
hujakata kushoto kwenda Ikulu.Karibu kabisa na idara ya takwimu. Kwa
lugha nyepesi hiyo ndo barabara mpya inayojengwa sasa hivi
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali na tunakukumbusha vitu na sehemu tofauti tofauti ambazo haujawahi kuzionanau haukuziona.Jukumu letu sisi ni kukuburudisha
Bill Gates anywa maji yaliyotokana na kinyesi cha binaadamu
Mmiliki wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates anywa maji yaliyotokana na kinyesi cha binaadam kuonyesha teknolojia itakayosaidia maji safi katika nchi zinazoendelea.
Bill Gates amesema maji "yana ladha nzuri tu …Read More
0 comments:
Post a Comment