Facebook

Saturday 31 May 2014

Kifo Cha George Tyson Chamliza Mboni Mwasimba,AY aonesha upendo wa dhati...

Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akilia kwa uchungu akiwa nje ya Hospitali ya Mkoa wa Morogoro wakati wakisubiri kusafirisha maiti kuelekea Dar. Marehemu Tyson ndiye alikuwa Mtayarishaji wa kipindi chake na walikuwa wote katika safari hiyo, ingawa walikuwa magari tofauti.
Katika hatua nyingine, msanii wa Hip Hop nchini, Ambwene Yessaya 'AY' (anayehesabu pesa) aliamua kujitole kununua jeneza la kusafirishia mwili w marehemu, jeneza hilo liligharimu kiasi cha shilingi laki sita ambazo AY alizitoa cash!

Wakisaidiana kubeba jeneza hilo kuelekea hospitalini baada ya kulinunua
 
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kufahamu kila kitakachokuwa kinaendelea kuhusiana na msiba huu

0 comments:

Post a Comment