Facebook

Friday, 30 May 2014

Ronaldo azidi kumpiku Messi, vingine vianvyomfanya amzidi Messi hivi hapa.....!!!


ronaldo-vs-messi-portugal-argentina-national-team-captainsCristiano Ronaldo ameendelea kumfunika mpinzani wake Lionel Messi, baada ya kumshinda kwenye uchezaji bora wa dunia, ufungaji bora wa La Liga na Champions League, na utajiri, sasa kwa mujibu wa taasisi ya uchunguzi na uchambuzi wa masoko ya Repucom umemtaja mshambuliaji huyo wa Real Madrid kuwa ndio staa wa soka mwenye thamani kubwa kwenye masuala ya kibiashara.
Kwa mujibu wa Repucom ndio mwanasoka mwenye mvuto mkubwa wa kibiashara kwa makampuni makubwa duniani kutokana ufuasi mkubwa wa mashabiki alionao kupitia mitandao ya kijamii.
Ronaldo ana likes millioni 82 kwenye mtandao wa Facebook, wakati anayemfuatia Messi ana likes millioni 57, kwenye twitter Ronaldo tena ameongoza kwa kuwa na wafuasi millioni 26.
Utafiti pia umeonyesha Ronaldo anatambulika zaidi duniani kuliko wachezaji wenzie, akipata asilimia 87% ya watu waliofanyiwa utafiti huo.
Wachezaji wengine waliongia kwenye listi hiyo ya wachezaji wenye mvuto mkubwa wa kibiashara kulingana na umaarufu ni Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Gerard Pique, Fernando Torres, Wayne Rooney – hawa ndio waliounda Top 5.
LISTI KAMILI IPO HIVI
article-2641168-1E426A4D00000578-334_634x478-1

Related Posts:

  • Mrundi aitwa kikosi cha Uingereza   Mshambuliaji wa klabu ya West Brom ya Uingereza, Saido Berahino ametajwa katika kikosi cha England kwa mara ya kwanza na meneja Roy Hogson. Berahino, 21, huenda akacheza mechi dhidi ya Slovenia ya kufuzu Euro 201… Read More
  • UCHAMBUZI:LIVERPOOL vs CHELSEATAREHE 8 NOVEMBA 2014 LIGI KUU YA UINGEREZA LIVERPOOL  V  CHELSEA ANFIELD Saa 9:45 alasiri: HABARI ZA KILA TIMU KWA UFUPI: Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard anatarajiwa kuanza kwenye mechi ya Leo baada ya kuanzia… Read More
  • Liverpool vs Chelsea:LIVE COMMENTARYLIGI KUU ENLGAND: LEO KUANZIA SAA 9 DAK 45 MCHANA LIVERPOOL v CHELSEA VIKOSI: Liverpool: Mignolet; Johnson, Skrtel, Lovren, Moreno: Can, Henderson, Gerrard; Coutinho, Sterling, Balotelli. Kiba: Brad Jones, Toure, Lambert, Lal… Read More
  • Habari za Michezo Kutoka Bongofun.blogspot.com ARSENAL WATAWALA KIKOSI CHA ENGLAND,MRUNDI BERAHINO NAYE NDANI Wayne Rooney na Wilshere                     &nbs… Read More
  • Kombe la Dunia 2022 liko 'Njia Panda'   Rais wa shirikisho la vyama vya soka barani Ulaya-Uefa, Michel Platini amesema kuwa fainali za kombe la dunia za mwaka 2022 nchini Qatar lazima zichezwe kipindi cha majira ya baridi. Mchezaji huyo wa zamani wa Ufa… Read More

0 comments:

Post a Comment