Facebook

Thursday 29 May 2014

Serena William atupwa nje michuano ya French Open.

Photo: SERENA NJE FRENCH OPEN
Bingwa mtetezi wa michuano ya French Open Serena Williams ametolewa katika michuano hiyo na Gabine Muguruza kutoka Spain katika siku ya nne. Mapema dada yake Serena, Venus, alitolewa na Anna Schmiedlova kutoka Slovakia. Hii ni mara ya kwanza kwa Serena kushindwa kuingia katika wiki ya pili ya michuano mikubwa kama mchezaji wa juu. Matumaini ya dada hawa wawili kukutana katika raundi ya tatu sasa hayapo, na itakuwa kati ya Muguruza na Schmiedlova. Habari na picha kutoka BBC Sport.

Bingwa mtetezi wa michuano ya French Open Serena Williams ametolewa katika michuano hiyo na Gabine Muguruza kutoka Spain katika siku ya nne. 
Mapema dada yake Serena, Venus, alitolewa na Anna Schmiedlova kutoka Slovakia. Hii ni mara ya kwanza kwa Serena kushindwa kuingia katika wiki ya pili ya michuano mikubwa kama mchezaji wa juu.
 Matumaini ya dada hawa wawili kukutana katika raundi ya tatu sasa hayapo, na itakuwa kati ya Muguruza na Schmiedlova.


Endelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali za burudani na michezo kwa wakati na muda muafaka.

0 comments:

Post a Comment