Facebook

Wednesday, 28 May 2014

Washindi wa ligi kuu Tz bara 2013/2014 wakabidhiwa zawadi zao

Screen Shot 2014-05-27 at 10.17.53 PM 
Zawadi na tuzo zimetolewa kwa timu zilizofanya vizuri na wachezaji waliong’ara msimu wa ligi kuu ya Vodacom 2013/2014 na kukabidhiwa zawadi kwa thamani ya pesa na vikombe leo na mdhamini wa ligi hiyo ambae ni Vodacom Tanzania.
imetoa jumla ya milioni mia mbili sitini na mbili (262,000,000) kwa washindi wote ligi kuu.

Kocha bora msimu wa 2013/2014 ni Juma Mwambusi wa Mbeya City FC, golkipa bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Hussein Sharifu wa napata zawadi ya Tsh 5,200,000 na tuzo.

Mchezaji bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Kipre Tchetche wa anapata Tsh 5.2M, mfungaji bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Amisi Tambwe wa

timu yenye nidhamu msimu wa mwaka 2013/2014 ni ambayo imezawadiwa Tsh 16M.

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata taarifa mbalimbali kuhusiana na michezo na burudani

Related Posts:

  • SIMEONE AFUNGIWA MECHI NANE Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amefungiwa mechi nane kwa utovu wa nidhamu alioonesha kwenye mechi ya Spanish Super Cup. Simeone, 44, alimgusa mmoja wa waamuzi kisogoni katika mechi iliyokuwa imejaa hamasa kati ya Atl… Read More
  • Kikosi cha taifa stars kitakachopambana na Morocco chatajwa. Morocco ( Atlas Lions) v Tanzania ( Taifa Stars), 5 Septemba... Haya ni majina ya wachezaji wa STARS yaliyotangazwa na mkufunzi mkuu, Martin Nooij.... MAKIPA, Deogratius Munish ( Yanga SC), Mwadini Ally Mwadini ( Azam FC),… Read More
  • Barcelona yaanza ligi kwa ushindi mnono.. Barca imefungua msimu kwa ushindi mkubwa dhidi ya Elche Lionel Messi alifunga mabao mawili na kuisaidia Barcelona kuilaza Elche mabao 3-0 katika me… Read More
  • Manchester City yaigaraza Liverpool. MABINGWA wa England, Manchester City, Jana Usiku wakiwa kwenye uwanja wao Etihad wameonyesha kuwa hawana mzaha walipoitandika Timu iliyomaliza Nafasi ya Pili Msimu uliopita, Liverpool,magoli 3-1 katika Mechi ya Ligi Kuu … Read More
  • KAULI YA BALOTELI BAADA YA KUTUA RASMI LIVERPOOL "Nadhani nilifanya makosa kuondoka England,nilipenda kwenda Italy lakini nmegundua lile lilikua kosa" >Akizungumzia  huamisho wa Baloteli kocha wa Liverpool Brandan Rosgers amesema "Uhamisho huu umefata misingi ya kl… Read More

0 comments:

Post a Comment