Facebook

Wednesday 28 May 2014

Washindi wa ligi kuu Tz bara 2013/2014 wakabidhiwa zawadi zao

Screen Shot 2014-05-27 at 10.17.53 PM 
Zawadi na tuzo zimetolewa kwa timu zilizofanya vizuri na wachezaji waliong’ara msimu wa ligi kuu ya Vodacom 2013/2014 na kukabidhiwa zawadi kwa thamani ya pesa na vikombe leo na mdhamini wa ligi hiyo ambae ni Vodacom Tanzania.
imetoa jumla ya milioni mia mbili sitini na mbili (262,000,000) kwa washindi wote ligi kuu.

Kocha bora msimu wa 2013/2014 ni Juma Mwambusi wa Mbeya City FC, golkipa bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Hussein Sharifu wa napata zawadi ya Tsh 5,200,000 na tuzo.

Mchezaji bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Kipre Tchetche wa anapata Tsh 5.2M, mfungaji bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Amisi Tambwe wa

timu yenye nidhamu msimu wa mwaka 2013/2014 ni ambayo imezawadiwa Tsh 16M.

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata taarifa mbalimbali kuhusiana na michezo na burudani

0 comments:

Post a Comment