Facebook

Friday 30 May 2014

Apple yanunua headphone za Dr,Dre...dili litakalomfanya Dr.Dre kuwa Bilionea

Photo: APPLE YANUNUA HEADPHONE ZA DR DRE KWA DOLA BILIONI 3
Kampuni ya Apple inayotengeneza iPhone imethibitisha kuwa itanunua kampuni ya Beats Electronics inayotengeneza headphone za Beats.
Apple itatoa dola BILIONI TATU.
Beats ilianzishwa na msanii wa hip-hop wa Marekani DR Dre akishirikiana na producer Jimmy Lovine mwaka 2008.
Katika makubaliano ya mauzo, Dr Dre na Jimmy Lovine nao watajiunga katika maradi huo wa Apple.
Katika taarifa waliotoa, Apple watalipa dola BILIONI 2.6 kwanza halafu dola milioni 400 zilizosalia zitalipwa taratibu.
Kampuni ya Apple inayotengeneza iPhone imethibitisha kuwa itanunua kampuni ya Beats Electronics inayotengeneza headphone za Beats.
Apple itatoa dola BILIONI TATU.
Beats ilianzishwa na msanii wa hip-hop wa Marekani DR Dre akishirikiana na producer Jimmy Lovine mwaka 2008.
Katika makubaliano ya mauzo, Dr Dre na Jimmy Lovine nao watajiunga katika maradi huo wa Apple.
Katika taarifa waliotoa, Apple watalipa dola BILIONI 2.6 kwanza halafu dola milioni 400 zilizosalia zitalipwa taratibu.
 
 Photo: 'Dili' la Apple huenda likamfanya DR Dre kuwa Bilionea wa kwanza wa hip-hop
 
'Dili' la Apple huenda likamfanya DR Dre kuwa Bilionea wa kwanza wa hip-hop
 
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali kwa muda na wakati muafaka...Usisahau ku-like page yetu facebook uweze kupata habari kama hizi moja kwa moja kwenye timeline yako.

0 comments:

Post a Comment