Facebook

Thursday 29 May 2014

Mwandishi nguli wa vitabu,Maya Angelou afariki dunia.

mayaangelou
Mwanaharakati, mshairi na mwandishi mahiri wa vitabu duniani Maya Angelou amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86.
Ikiwa ni moja katika ya sauti kubwa za kifasihi duniani, Maya alitengeneza jina lake mwaka 1969 kupitia kitabu cha I Know Why the Caged Bird Sings.
maya
Familia yake imesema kuwa Mwanaharakati huyo aliishi kama mwalimu, mwanaharakati,msanii na mtu mwenye utu. Alikuwa sauti ya amani duniani.
Maya amefariki akiwa nyumbani kwake Kaskazini mwa Jimbo la North Carolina.
 Photo: MAYA ANGELOU AFARIKI DUNIA
Mshairi, mtunzi na mwanaharakati Maya Angelou amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86.

Alikuwa mmoja wa sauti za Marekani katika sekta ya uandishi. Alipata umaarufu mwaka 1969 baada ya kuandika kitabu kijulikanacho kama 'I Know Why the Caged Bird Sings' yaani 'Nafahamu Kwanini Ndege Waliofungiwa Tunduni Wanaimba'.

Ilikuwa ni moja kati ya vitabu saba ambavyo vimefuatilia maisha yake kuanzia utoto wake alipokuwa akinyanyaswa katika miaka ya 1930. Familia yake imesema "Aliishi maisha yake kama mwalimu, mwanaharakati, msanii, na mwanadamu. Alikuwa shujaa wa usawa, uvumilivu na amani."

Je umewahi kuona na kusoma kazi yoyote ya Maya? Tafadhali tuambie ukakumbuka kitu gani katika kazi zake.
 Alikuwa mmoja wa sauti za Marekani katika sekta ya uandishi. Alipata umaarufu mwaka 1969 baada ya kuandika kitabu kijulikanacho kama 'I Know Why the Caged Bird Sings' yaani 'Nafahamu Kwanini Ndege Waliofungiwa Tunduni Wanaimba'.

Ilikuwa ni moja kati ya vitabu saba ambavyo vimefuatilia maisha yake kuanzia utoto wake alipokuwa akinyanyaswa katika miaka ya 1930. Familia yake imesema "Aliishi maisha yake kama mwalimu, mwanaharakati, msanii, na mwanadamu. Alikuwa shujaa wa usawa, uvumilivu na amani."


Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata stor mbalimbali zilizojiri kutoka pande zote za dunia
 


0 comments:

Post a Comment