Facebook

Wednesday 28 May 2014

Tweets mbalimbali za mastaa kuhusiana na kutimia kwa mwaka moja tangu Albert Mangwair afariki dunia....


May 28 2014 Ni mwaka Mmoja Leo toka Tanzania impoteze msanii Albert Mangwear aliyefariki akiwa South Africa. Ngwear alikuwa rapper mwenye uwezo mkubwa wa kuandika, kutumbuiza na kufanya muziki bora wa rap ulioweza kuishi miaka mingi baada ya kutoka. Ngwear amewahi kufanya kazi na wasanii na producers wengi Tanzania katika kutengeneza muziki wake na muziki wa wasanii wengine.
Ikiwa ni mwaka mmoja toka Tanzania impoteze Albert Mangwear hizi ni Post za wasanii Tanzania kuhusu Mwenzao.

 Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kufahamu tweets na post mbalimbali kuhusiana  kutimia kwa mwaka moja tangu Albert Mangwair afariki dunia....

0 comments:

Post a Comment