Facebook

Saturday 31 May 2014

Morogoro yamuaga George Tayson

 
   Baada ya hapo Jana kupata ajali mbaya ya gari.Mtayarishaji na mwongozaji wa vipindi vya filamu na vya runinga George Tayson aliyepata ajali jana eneo la Gairo,mkoani Morogoro.
Na baadae mwili wake kuchukuliwa na kwenda kuhifadhiwa hospitali ya Morogoro.
Leo hii watu mbali mbali mkoani Morogoro walijitokeza kuuaga mwili wa marehemu na sasa ndugu,jamaa na marafiki wa marehemu wako safarini  kuelea jijini Dar es salaam ambapo taratibu nyingine zitafuata.


Kufuatia msiba huu Monalisa aliandika hicho hapo juu katika akaunti yake ya Instagram
 

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kujua kula kitakachokuwa kinajiri kuhusiana na msiba huu wa Mtayarishaji na muongizaji huyu wa filamu Mashuhuri hapa nchini.

0 comments:

Post a Comment