Facebook

Saturday 31 May 2014

Maombi ya kumuombea Falcao yaanza kujibiwa Colombia....


 Photo: #BRAZUKA Nchini Colombia maombi ya kumuombea Rademel Falcao yanaonyesha kupata majibu mazuri baada mshambuliaji huyo kuanza mazoezi na wachezaji wenzie wa kikosi cha timu ya taifa ya Colombia. David Beckham alivujika kwenye mechi ya Champions league kati ya Deportivo La Coruna vs Man United - ikiwa imebaki miezi michache kabla ya kombe la dunia, waingereza walikusanyika makanisani kumuombea mchezaji apone kwa ajili ya kombe la dunia. Majibu yalifanya kazi na David Beckham alipona na kuitumikia England iliyoishia robo fainali kwa kufungwa na Brazil.
    Nchini Colombia maombi ya kumuombea Rademel Falcao yanaonyesha kupata majibu mazuri baada mshambuliaji huyo kuanza mazoezi na wachezaji wenzie wa kikosi cha timu ya taifa ya Colombia.
      David Beckham alivujika kwenye mechi ya Champions league kati ya Deportivo La Coruna vs Man United - ikiwa imebaki miezi michache kabla ya kombe la dunia, waingereza walikusanyika makanisani kumuombea mchezaji apone kwa ajili ya kombe la dunia. 
      Majibu yalifanya kazi na David Beckham alipona na kuitumikia England iliyoishia robo fainali kwa kufungwa na Brazil.
 
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kujua kila taarifa itakayohusiana na michiano ya Kombe la dunia huko Brazil


0 comments:

Post a Comment