Facebook

Saturday 31 May 2014

Balloteli aidharau Uingereza kombe la dunia Brazil..


 Photo: #BRAZUKA Mario Balotelli amesema timu ya taifa ya England haina uwezo wa kuchukua kombe la dunia, alisema: "Siangalii England kama timu inayoweza kuchukua kombe la dunia. Wana wachezaji wazuri, lakini sioni kama wataweza kushindana na Italy. 
‘Sisemi kwamba Italy watachukua ubingwa, lakini tuna wachezaji uzoefu wa kiakili na wa uwanjani kuwashangaza watu - sidhani kama England wana kitu kama hicho.
‘Tuna wachezaji ambao wameshashinda ubingwa wa Dunia, sidhani kama England wana wachezaji wanaojua angalau nin namna gani inakuwa kucheza zaidi ya robo fainali."
 
Balloteli amesema timu ya taifa ya England haina uwezo wa kuchukua kombe la dunia, alisema: 
 
"Siangalii England kama timu inayoweza kuchukua kombe la dunia. Wana wachezaji wazuri, lakini sioni kama wataweza kushindana na Italy.
‘Sisemi kwamba Italy watachukua ubingwa, lakini tuna wachezaji uzoefu wa kiakili na wa uwanjani kuwashangaza watu - sidhani kama England wana kitu kama hicho.
‘Tuna wachezaji ambao wameshashinda ubingwa wa Dunia, sidhani kama England wana wachezaji wanaojua angalau nin namna gani inakuwa kucheza zaidi ya robo fainali."
 
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali za michezo....


0 comments:

Post a Comment