Facebook

Saturday 31 May 2014

Penzi la Kitale a.ka Mkude simba na Penny lapamba moto.....

Juzi ilisambaa   picha ya KITALE (Kwasasa unaweza kumuita MKUDE SIMBA)  akiwa anapigwa kiss zito na PENNY lenye hisia kali (Daah mtoto P hadi akafumba macho).....Nikawaachia wadau wengi walishangaaa..Sasa leo tena mwanadada Penny Kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia hii....

Sina cha ku-comment zaidi ya kukumbuka msemo wa Penzi ni kama kikohozi.....Halifichiki
Endelea kutembelea katemmethsela.blogspot.com uweze kujua undani wa mahusiani wa mastaa hawa wawili hapa Nchini....

0 comments:

Post a Comment