Cristiano Ronaldo amempita rasmi Di Stefano katika listi ya
wafungaji bora wa muda wote wa Real Madrid kwa kufikisha magoli
309. Akimnyemelea Raul mwenye magoli 323. Akiendelea kubaki
Bernabeu msimu ujao ataivunja rekodi hii na kuweka ya kwake! Jana amefunga hat trick yake ya saba kwenye la liga msimu huu!
Monday, 18 May 2015
Ronaldo aweka rekodi nyingine Madrid.
Related Posts:
Fainali Ligi daraja la kwanza kupigwa Uwanja wa Azam Complex. Fainali ya kumsaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara ( FDL) ,inatarajiwa kufanyika leo kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuanzia majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki . Awali mchezo huo … Read More
Tanzia:Aliyekuwa mchezaji nguli wa Simba Sc Christopher Alex afariki dunia. Taarifa zilizotufikia BantuTz.com hivi punde kutoka mkoani Dodoma ni kwamba Mwamba umeanguka na nuru imetoeka.Ni baada ya aliyekuwa kiungo mahiri wa timu ya taifa mpira wa miguu Tanzania na vilabu vya Reli na Simba SC… Read More
Uchambuzi wa michezo ya jana Ligi Kuu Uingereza na Mr Martin Kiyumbi. Jana Ligi Kuu Uingereza iliendelea imeanza huku michezo mbalimbali ilipigwa katika viwanja mbalimbali.Hebu tujaribu kuangalia vitu vichache vilivyotokea kwenye michezo ya jana. Swansea City 2-1 Manchester United … Read More
UCHAMBUZI MECHI ZA LEO JUMAPILI LIGI KUU UINGEREZA n HISPANIA NA Mr.CHOI {KWA TAARIFA YAKO}SOUTHAMPTON vs LIVERPOOL 19:15 Baada ya kuondoka kwa kocha Mauricio Pochettino na kutimkia Tottenham kisha kuuzwa kwa R.Lambert, Adam Lallana, D… Read More
Luis Enrique:Barcelona walistahili kufungwa. Kocha wa Barcelona mwenye umri wa miaka 44 Luis Enrique amesema timu yake ilistahili kufungwa kutokana na kiwango kibovu ilichokionesha hapo jana. Tulicheza vibaya,tulistahili kupoteza mchezo wetu dhidi ya Malaga,"Alisis… Read More
0 comments:
Post a Comment