Dr Mwakyembe Akiwa njiani kwenda Congo Kufungua Kituo cha Bandari ya
Tanzania ambacho kitasaidia Malipo kwa Wafanya Biashara wa Wanaopitishia
Mizigo ya Bandari ya Dar es salaam aliweza kuona hali halisi waliyonayo
Madereva wa Magari Makubwa ya Mizigo Kutoka Tanzania kwenda nchi
zingine, Amehabarisha kuwa Madereva wa Tanzania ni wachafu na wananjaa
Sana Kiasi wanatembea na Masufuria na vikombe kwenye Malori yao kwa vile
hawana uwezo wa Kununua chakula Mahotelini wakiwa njiani ni Bora wafike
mahali Wapike...Amesema hii inatia Aibu Taifa kwani ukikutana na Malori
Mengine kutoka nchi zingine ni wasafi na wanaonekana Wamewezeshwa vya
kutosha, amesema Madereva wa Tanzania Wamesema wanapewa Hela kidogo ya
Kujikimu njiani , Boss anakupa laki tatu hiyo uitumie mwezi mzima ukiwa njiani ni haki Kweli ? Mwakyembe amehaidi kulishughulikia hilo swala
Wednesday, 7 May 2014
Dr Mwakyembe"Madereva wa Malori ya Kwenda Nje ya Nchi Wanatutia Aibu wa Tanzania"
Related Posts:
Kafulila afunguka tena,safari hii Ikulu yaingia lawamani.Wakati rais jakaya kikwete akisuasua kuwachukulia hatua viongozi waliotajwa na bunge kuhusika katika wizi wa zaidi ya bilioni 320 kwenye akaunti ya tegeta esrcow Mbunge wa kigoma kusini david kafulila ameibuka upya na ameiva… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 5 .BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikw… Read More
Huyu ndiye kiongozi pekee kutoka Tanzania mwenye mafunzo ya kijasusi.Je wajua!?Waziri Membe ndiye mtanzania pekee aliyewahi kupata fursa ya kufanya mafunzo ya kikachero kwa muda wa miezi 6 katika shirika kubwa la kijasusi Uingereza liitwalo Scotland Yard!? Hii ni baada ya kufaulu kwa asilimia … Read More
Waziri Membe amaliza rasmi ziara yake ya kidiplomasiaWaziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh Benard Membe baada ya kukamilisha masaa 72 ya ziara yake ya kidiplomasia katika nchi nne tofauti barani Afrika na kuhudhuria mahafali katika vyuo vikuu viwili tofauti kama… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 6 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kili… Read More
0 comments:
Post a Comment