Facebook

Wednesday, 14 May 2014

Tottenham Hotspurs yamtimua kocha wake ‘Tim Sherwood’


tim
Kibarua cha kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs, Tim Sherwood kimeota nyasi baada ya klabu hio kutangaza kufukuzwa kazi kwa kocha huyo. Hii ni baada ya miezi 6 kwenye kazi hio na kuonekana hafai kumiliki game za klabu hio pale White Hart Lane.
Fahamu Sherwood alirithi nafasi hio kutoka kwa kocha Andre Villas-Boas mwezi wa 12 mwaka jana na kupewa mkataba wa mwaka na miezi sita. Mwazi wa Nne palikuwa na tetesi kuwa kocha huyu atafukuzwa baada ya msimu kuisha. Bosi wa Spurs Daniel Levy ana mpango wa kutafuta kocha bora wa kuendeleza klabu hio.
tt
Rekodi
-Akiwa Spurs Sherwood ameshinda game 14 katika game 28 alizosimamia.
-Spurs imemaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi msimu huu. nafasi ya 6 katika msimamo.
-Tim ameshapata kazi klabu nyingine ya Brighton baada ya kujiuzulu kwa kocha Oscar Garcia .

Endelea kutembela katemimethsela.blogspot.com uweze kupata habari mbalimbali za michezo

Related Posts:

  • Man City yamuwekea dau Alex SongManchester City imeonyesha nia ya kupata huduma ya mchezaji wa Barca Alex Song ambaye msimu huu alikuwa akicheza kwa mkopo timu ya Westham inayoshiriki.Alex aliyerudi nyumbani Barcelona anaweza kuuuzwa jumla na kujiunga na … Read More
  • McClaren kocha mpya Newcastle. Steve McClaren anatarajiwa kuthibitishwa kuwa Meneja mpya wa Klabu ya Ligi Kuu England Newcastle Wiki ijayo. McClaren, mwenye Miaka 54, ni Meneja wa zamani wa England na pia aliwahi kuwa Meneja Msaidizi chini ya… Read More
  • Benitez amtaka Laurent KoscielnyKocha mpya wa Real Madrid Benitez anataka kumsaini beki wa Arsenal Laurent Koscielny. Ni imani ya kocha wa zamani wa Liverpool na Chelsea atampata Mfaransa huyo kuwa msaidizi wa Sergio Ramos katika ulinzi. Koscielny alisai… Read More
  • Juventus yamnasa mshambuliaji hatari Paulo Dybala Mabingwa wa ligi kuu ya Italia Juventus leo hii wamethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Paulo Dybala kutoka katika klabu ya Palermo kwa kitita cha euro milioni 32. Mshambuliaji huyo mwenye umri … Read More
  • Hizi ni tetesi zote za Usajili wa wachezaji barani Ulaya siku ya leo.Manchester United wanakaribia kutoa dau la pauni milioni 25 kumtaka mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling, 20 (Mirror), Chelsea wanataka kumsajili Radamel Falcao kwa mkopo kutoka Monaco. Falcao, 29, amefunga mabao manne k… Read More

0 comments:

Post a Comment