Mchezaji
wa mbele anaonekana kama anafanyia mazoezi ya shindano la mtu mwenye
nguvu zaidi duniani, ni zoezi ambalo hutumiwa na wanamichezo wa
mashindano ya mtu mwenye nguvu zaidi, Mchezaji hufungwa kamba na kuvuta
kitu chenye matairi. Hizi ni baadhi tu ya mbinu za mazoezi wanazofanya
wachezaji wa Japani ambazo zimeonekana kama ni za zamani ila zinamfanya
mchezaji kuwa na nguvu uwanjani.
Ni katika maandalizi ya timu ya Japan kwa ajili ya kombe la dunia Brazil mwaka huu.
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kujionea vioja na vituko mbalimbali vinavyotokea sehemu mbalimbali duniani
Related Posts:
Lucas Moura atajwa kwenye orodha ya wachezaji saba ambao wanaweza kuitwa kama ikitokea mchezaji alieitwa akiumia
Lucas
Moura atajwa kwenye list ya wachezaji saba ambao wanaweza kuitwa kama
ikitokea mchezaji alieitwa akiumia kabla ya Kombe la Dunia kuanza Brazil standby list:
Lucas Leiva (Liverpool), Alan Kardec (Sao Paulo),… Read More
Italia wataja kikosi chao cha awali kwa ajili ya kombe la dunia Brazil
Ballotelii ajumuishwa kwenye kikosi cha awali cha ITALY
ITALY PROVISIONAL WORLD CUP SQUAD
GOALKEEPERS
Gianluigi Buffon (Juventus), Salvatore Sirigu (PSG), Mattia Perrin (Genoa) DEFENDERS
Ignazio Abate (AC Mi… Read More
Radamel Falcao ameitwa kwenye kikosi cha Colombia kwa ajili ya kombe la dunia
Radamel Falcao ameitwa kwenye kikosi cha Colombia kwa ajili ya kombe la dunia - KIKOSI KAMILI
Goalkeepers: David Ospina, Faryd Mondragon, Camilo Vargas Defenders: Eder Alvarez Balanta, Santiago Arias… Read More
Ureno wataja kikosi chao cha awali....
Portugal Provisional Squad For Brazil 2014 Goalkeepers: Anthony Lopes (Olympique Lyon), Beto (Sevilla), Eduardo (Braga), Rui Patricio (Sporting)
Defenders: Andre Almeida (Benfica), Antunes (Malaga), Bruno… Read More
Van Gaal Atangaza kikosi cha Awali cha Uholanzi chenye Wachezaji 30
Holland Provisional Squad for World Cup 2014 Goalkeepers: Jasper Cillessen (Ajax), Michel Vorm (Swansea City), Tim Krul (Newcastle United), Jeroen Zoet (PSV)
Defenders: Paul Verhaegh (Augsburg), Patrick van… Read More
0 comments:
Post a Comment