Facebook

Monday 30 June 2014

Arsenal kutema wachezaji 11


 Photo: BREAKING : ARSENAL YAACHA 11
Arsenal wamethibitisha kwamba wachezaji 11 wataihama klabu hiyo pindi mikataba yao itakapomalizika June 30.
Nicklas Bendtner na Ju Young Park kufikia tarehe hiyo watakua ukingoni mwa mikataba yao ilhali Kim Kallstrom na Emiliano Vivian mikataba yao ya mkopo itamalizika na watarudi kwa waajiri wao.
Kama ambavyo imetangazwa awali, Bacary Sagna, Lukasz Fabianski na Zak Ansah wamekamilisha uhamisho wao kwa kuhamia Manchester City, Swansea City na Charlton Athletic kwa kila mmoja.
Huku, wachezaji wa timu za akademi Chuks Aneke, Daniel Boateng, Zach Fagan na Leander Siemann pia wameachwa baada ya kufikia kikomo cha mikataba wao.

Nini maoni yako juu ya taarifa hii?
 
Arsenal wamethibitisha kwamba wachezaji 11 wataihama klabu hiyo pindi mikataba yao itakapomalizika June 30.
Nicklas Bendtner na Ju Young Park kufikia tarehe hiyo watakua ukingoni mwa mikataba yao ilhali Kim Kallstrom na Emiliano Vivian mikataba yao ya mkopo itamalizika na watarudi kwa waajiri wao.
Kama ambavyo imetangazwa awali, Bacary Sagna, Lukasz Fabianski na Zak Ansah wamekamilisha uhamisho wao kwa kuhamia Manchester City, Swansea City na Charlton Athletic kwa kila mmoja.
Huku, wachezaji wa timu za akademi Chuks Aneke, Daniel Boateng, Zach Fagan na Leander Siemann pia wameachwa baada ya kufikia kikomo cha mikataba wao.

Nini maoni yako juu ya taarifa hii?

0 comments:

Post a Comment