Facebook

Monday, 30 June 2014

Arsenal kutema wachezaji 11


 Photo: BREAKING : ARSENAL YAACHA 11
Arsenal wamethibitisha kwamba wachezaji 11 wataihama klabu hiyo pindi mikataba yao itakapomalizika June 30.
Nicklas Bendtner na Ju Young Park kufikia tarehe hiyo watakua ukingoni mwa mikataba yao ilhali Kim Kallstrom na Emiliano Vivian mikataba yao ya mkopo itamalizika na watarudi kwa waajiri wao.
Kama ambavyo imetangazwa awali, Bacary Sagna, Lukasz Fabianski na Zak Ansah wamekamilisha uhamisho wao kwa kuhamia Manchester City, Swansea City na Charlton Athletic kwa kila mmoja.
Huku, wachezaji wa timu za akademi Chuks Aneke, Daniel Boateng, Zach Fagan na Leander Siemann pia wameachwa baada ya kufikia kikomo cha mikataba wao.

Nini maoni yako juu ya taarifa hii?
 
Arsenal wamethibitisha kwamba wachezaji 11 wataihama klabu hiyo pindi mikataba yao itakapomalizika June 30.
Nicklas Bendtner na Ju Young Park kufikia tarehe hiyo watakua ukingoni mwa mikataba yao ilhali Kim Kallstrom na Emiliano Vivian mikataba yao ya mkopo itamalizika na watarudi kwa waajiri wao.
Kama ambavyo imetangazwa awali, Bacary Sagna, Lukasz Fabianski na Zak Ansah wamekamilisha uhamisho wao kwa kuhamia Manchester City, Swansea City na Charlton Athletic kwa kila mmoja.
Huku, wachezaji wa timu za akademi Chuks Aneke, Daniel Boateng, Zach Fagan na Leander Siemann pia wameachwa baada ya kufikia kikomo cha mikataba wao.

Nini maoni yako juu ya taarifa hii?

Related Posts:

  • Arsenal yamtengea dau Kondogbia.Hakuna timu ambayo ipo nyuma kupata wachezaji wazuri kwa ajili ya msimu ujao. Ukikaa nyuma muda wa usajili maisha hayatakua mazuri muda wa msimu ujao. Arsenal inakomaa kumpata mchezaji Kondogbia ambae pia anatakiwa na Inter m… Read More
  • Van Gaal amafungia kazi kiungo SchweinsteigerMchezaji nyota wa Bayern Munich Bastian Schweinsteiger anabaki chaguo namba moja la timu ya Manchester United kwa nafasi ya kiungo msimu huu.Lakini United wapo tayari kumpata mchezaji kiungo wa Southampton Morgan Schneide… Read More
  • Benitez atambulishwa rasmi Real Madrid.  Rafael Benitez ametambulishwa rasmi kama meneja mpya wa Real Madrid. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari amesema: "Hii ni ngumu, kutakiwa kuzungumza, lakini sijui niseme nini," amesema meneja huyo wa zama… Read More
  • Liverpool yamkosa mshambuliaji hatari LacazetteTimu ya Liverpool itashindwa kumsaini mchezji Alexandre Lacazette ,baada ya Rais wa timu ya Lyon Jean-Michel Aulas kusema mchezaji wake hatojiunga na Liverpool kufuatia timu hiyo ya Anfield kukosa nafasi ya kushiriki Cha… Read More
  • Neymar aiomba Barca kumuongeza mkataba Dani Alves. Inaonekana Dani Alves anaweza kuondoka Barcelona mara mkataba wake ukiisha msimu huu.Lakini mchezaji mwenzake Neymar ameomba apewe nafasi ya kubaki Nou Camp.Makubaliano kati ya Alves na Barcelona hayajakamilika,Mbrazil huyo … Read More

0 comments:

Post a Comment