|
Mambo niaje wadau, natumai mabo
yanaenda sawa.Leo nilipenda tujifunze kitu muhimu sana wadau,
Namna ya kutoa Files zako ulizotumiwa na watu kutoka whatsapp (kwa
BLUESTACKS-Android Emulator) ili uziingize kwenye Computer yako wakati
mwingine uziamishe zaidi, ubakize kumbu kumbu ama Computer Opertaing
system imeleta tatizo....
Wengi Tumekuwa tukikwama sana hapo,halafu unakuta wakati mwingine una data muhimu sana {DATA SENSITIVE} kweli kweli, zingine picha za muhimu sana kumbukumbu na matukio adimu....Basi leo tuiweke sawa kama hivi mdau. Somo hili la leo linahitaji umakini wa hali ya juu kidogo wadau, Kwa wanaotumia Bluestacks basi cha kwanza kabisa inabidi udownload application ya file manager kwa ajili ya android Mobile OS. (ipo chini kabisa utadownload) Hii app inaitwa ASTRO File Manager inafanana kama hivi. Baada ya kudownload Install kwenye Bluestacks yako na baada ya hapo...sasa itakuambia {Prompt} ufanye setup kwa akaunt zako muhimu fanya kwa google account peke yake...nyingine sio muhimu. Unaweza kuiipata hiyo app hata kwa playstore ya google kama inavyoonekana hapo juu Na baada ya KuiNSTALL, Open utakutana na Folder MNT Fungua utakutana >>>SDCARD KINACHOFUATA Sasa mpaka hapo mdau utaweza kukuta kila folder ambalo umekuwa ukishare na wadau mbali mbali vitu vyako kwenye whatsapp, viber, insta na kwingineko..... Namna ya kuCOPY unafanya ku HOLD ile Folder ama Files ambayo/ambazo ungependa uCOPY data zake....alafu kwa chini utaona OPTIONS za COPY/MOVE ama Delete UkishaHOLD ukaCOPY basi tunaRUDI kwenye ile path ya SDCARD baada ya hapo unaenda kwenye folder ya BSTFOLDER Ambapo ndani yake utakuta Folder ya "BSTSHAREDFOLDER" Basi Click hiyo Folder alafu Ingia humo PASTE kile tulichoCOPY kule Mwanzo Hapa unakuwa kama unazidownload ivi utaona zinaload baadhi ya MB's ama KB's au hata GB's kutokana na wingi wa data zako SASA KWENYE COMPUTER YANGU NAZIONAJE ?? Usipanic, zipo kwa computer yako kama umefanya kama nlivyo ainisha fresh hapo Ili uweze kuziona kwenye computer yako Nenda kwenye Drive C:> (ndio disk ambayo wengi tumekuwa tukifanyia Installations) sasa kachek >>>ProgramData - BlueStacks - UserData - SharedFolder. Ebu baada ya Hapo katazame |
Friday, 27 June 2014
Jifunze jinsi gani ya ku-Copy/Move ma-file ya Android kama vile ya Whatsapp kutoka kwenye Bluestacks kwenda kwenye Computer
|
Related Posts:
Huu ndiyo utafiti wa wanasansi kuhusiana na uaminifu wa wanaume kulingana na vidole vyao. Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili. Je, unakubaliana na utafiti huu uliofanywa na wanasayansi katika chuo … Read More
Haya ndiyo yanayoweza kufanyika iwapo mtumiaji wa Facebook amefariki. Mitandao ya kijamii imetusogeza karibu, Facebook ni moja ya mitandao hiyo, lakini kurasa za mtumiaji wa mtandao kama Facebook huwa zinaendelea kuwepo hata kama ikitokea mtumiaji amefariki. Facebook wameenda mb… Read More
Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume Mvulana mmoja amefanyiwa kile madaktari wanasema ni upasuaji wa kwanza wa kupunguza uume wake. Kijana huyo wa miaka 17 alikuwa akilalamika kwamba hangeweza kushiriki katika tendo la ngono ama hata kushiriki katika michezo… Read More
Mbwa kitoweo murua China,Wawashangaa WaTanzania. Baadhi ya wachina waishio Tanzania hapo jana waliungana na wenzao duniani kuadhimisha mwaka mpya wa kichina. Hata hivyo wakati wachina hao wakiadhimisha mwaka huo baadhi ya raia wa Tanzania wamekuwa wakistaajabu vy… Read More
Wezi wa kompyuta waiba dola bilioni 1 Genge la wezi wa kompyuta limefanikiwa kuiba takriban dola bilioni moja kutoka kwenye akaunti za wateja wa mabenki 100 katika mataifa 30. Kampuni inayosimamia usalama wa programu ya kompyuta inayohakikisha data ya wate… Read More
0 comments:
Post a Comment