Facebook

Monday 30 June 2014

Orodha Kamili Ya Washindi Wa BET Awards 2014.

BET Awards 2014 ilifanyika jana Los Angeles, Marekani na kuwahusisha wasanii wa kimataifa kutoka katika kona mbalimbali za dunia.
Katika tuzo hizo, Beyonce Knowles, Pharrell Williams na August Alsina waling’aa zaidi. Beyonce alitangazwa kuwa mshindi wa tuzo tatu ambazo ni Best Female R&B/Pop artist, Best Collaboration na Fandemonium.
Pharrell-na-Beyonce1
Pharrell na BeyonceMshindi wa tuzo ya Grammy, Pharrell Williams aliendeleza ushindi wake kwa mwaka huu baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya Video of the Year na Best Male R&B/Pop artist. Na August Alsina alishinda tuzo ya Best New Artist na Viewers’ Choice Award.
Muigizaji kutoka Kenya Lupia Nyong’o alikuwa moja kati ya washindi wa awali na alitangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Muigizaji bora wa kike (Best Actress)
Lupita-Nyongo1

Hawa ndio washindi wa BET Awards 2014
Best Female R&B/Pop Artist
Beyoncé

Best Male R&B/Pop Artist
Pharrell Williams

Best Group
Young Money

Best Collaboration
Beyoncé f/ JAY Z – “Drunk In Love”

Best Male Hip-Hop Artist
Drake

Best Female Hip-Hop Artist
Nicki Minaj

Video of the Year
Pharrell Williams – “Happy”

Video Director of the Year
Hype Williams

Best New Artist
August Alsina

Best Gospel Artist
Tamela Mann

Best Actress
Lupita Nyong’o

Best Actor
Chiwetel Ejiofor

YoungStars Award
KeKe Palmer

Best Movie
12 Years a Slave

Subway Sportswoman of the Year
Serena Williams

Subway Sportsman of the Year
Kevin Durant

Centric Award
Jhené Aiko – “The Worst”

Best International Act: Africa
Davido (Nigeria)

Best International Act: UK
Krept & Konan

Coca-Cola Viewers’ Choice Award
August Alsina f/ Trinidad Jame$ – “I Luv This Sh*t”

Fandemonium
Beyoncé


Endelea kutembelea www.bantutz.com kupta habari mbalimbali zinazowahusu watu mashuhuri ulimwenguni na habari mbalimbali kutoka katika kila pembe ya dunia.

0 comments:

Post a Comment