Facebook

Monday, 23 June 2014

Majina ya wanafunzi watakaojiunga kidato cha tano na Vyuo mbalimbali 2014 haya hapa !

Kulia Naibu Waziri wa Tamisemi Kasimu Majaliwa akitoa taarifa ya kuteuliwa kwa wanafunzi wa kidato cha tano kushoto ni Benard Makali Mkurugenzi anayeshuhulikia Elimu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Tamisemi.
Kulia Naibu Waziri wa Tamisemi Kasimu Majaliwa akitoa taarifa ya kuteuliwa kwa wanafunzi wa kidato cha tano kushoto ni Benard Makali ,Mkurugenzi anayeshuhulikia Elimu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Tamisemi.
Jumla ya wanafunzi wapatao 235,227 wa kidato cha nne mwaka 2013 sawa na asilimia 58.21 ya watahiniwa wote wamefaulu kujiunga na kidato cha tano pamoja na vyuo mbalimbali vya serikali, matokeo hayo yanaonesha kiwango cha ufaulu kimepanda kwa asilimia 15.13.

Naibu Waziri wa Tamisemi, Kasim Majaliwa, alisema kuwa takwimu zinaonesha kumekuwa na ongezeko la ufaulu kwa wahitimu wa kijitegemea kutoka 26,193 sawa na asilimia 43.07 mwaka 2012 hadi kufikia watahiniwa 34,075 sawa na asilimia 66.21 kwa mwaka 2013 kwa kulinganisha na mwaka 2012 lipo ongezeko la asilimia 30.09.
Majaliwa alifafanua kuwa ufaulu kwa mwaka 2013 katika daraja kwanza hadi la tatu umefikia watahiniwa 71,527 sawa na asilimia 20.28 ya watahiniwa waliofanya mtihani Tanzania Bara, hivyo kuna ongezeko la ufaulu wa asilimia 106.73 ikilinganishwa na matokeo ya ufaulu mwaka 2012.
Uteuzi huo wa ufaulu wa wanafunzi wa kujiunga kidato cha tano umefanyika kwa kutumia kompyuta kwa kuzingatia machaguo ya wanafunzi pamoja na ufaulu, hivyo hapatakuwa na mabadiliko, pia wanafunzi wote wametakiwa kuripoti shuleni tarehe 10 Juni mwaka huu.
Wanafunzi ambao watashindwa kuripoti shuleni hadi tarehe 30 Juni mwaka huu nafasi zao zitajazwa na wanafunzi ambao wamekosa nafasi.

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA 
KIDATO CHA TANO MWAKA 2014
Wasichana --- Shule Zote
Wavulana --- Majina ya Shule A Mpaka L
Wavulana --- Majina ya Shule M mpaka Z
MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA 
NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA 2014
ARUSHA TECHNICAL COLLEGE (ATC)
WASICHANA
WAVULANA
AUTOMOTIVE ENGINEERING AUTOMOTIVE ENGINEERING
CIVIL ENGINEERING CIVIL ENGINEERING
ELECTRICAL ENGINEERING ELECTRICAL ENGINEERING
HIGHWAY ENGINEERING HIGHWAY ENGINEERING
LABORATORY TECHNOLOGY LABORATORY TECHNOLOGY
MECHANICAL ENGINEERING MECHANICAL ENGINEERING
TELECOMMUNICATION ENGINEERING TELECOMMUNICATION ENGINEERING
DAR-ES-SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY
 (DIT)
WASICHANA
WAVULANA
BIO MEDICAL EQUIPMENT ENGINEERING BIO MEDICAL EQUIPMENT ENGINEERING
CIVIL ENGINEERING CIVIL ENGINEERING
COMPUTER TECHNOLOGY COMPUTER TECHNOLOGY
ELECTRICAL ENGINEERING ELECTRICAL ENGINEERING
LABORATORY TECHNOLOGY LABORATORY TECHNOLOGY
MECHANICAL ENGINEERING MECHANICAL ENGINEERING
MINE ENGINEERING MINE ENGINEERING
TELECOMMUNICATION ENGINEERING TELECOMMUNICATION ENGINEERING
WATER DEVELOPMENT & MANAGEMENT INSTITUTE 
( WDMI) - DAR ES SALAAM
WASICHANA
WAVULANA
CIVIL ENGINEERING CIVIL ENGINEERING
LABORATORY TECHNOLOGY LABORATORY TECHNOLOGY
WATER RESOURCES ENGINEERING WATER RESOURCES ENGINEERING
MBEYA INSTITUTE OF TECHNOLOGY (MIST)
WASICHANA
WAVULANA
ARCHITECTURAL ENGINEERING ARCHITECTURAL ENGINEERING
CIVIL ENGINEERING CIVIL ENGINEERING
COMPUTER TECHNOLOGY COMPUTER TECHNOLOGY
ELECTRICAL ENGINEERING ELECTRICAL ENGINEERING
LABORATORY TECHNOLOGY LABORATORY TECHNOLOGY
MECHANICAL ENGINEERING MECHANICAL ENGINEERING
 Imeandaliwa na.....
                               Katemi Methsela        



Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

  • HIZI NDIZO FAIDA ZA KUNYWA MAJI MWILINI1: Kupunguza uzito: Kunywa maji mengi kunasaidia kupunguza uzito, kwani maji hayana mafuta, kalori wala sukari. 2: Afya ya moyo: Unywaji wa maji mengi kunaweza kupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo. Utafiti wa miaka … Read More
  • Hii ndiyo simu iliyotengenezwa kwa kutumia nyasi.Watu wengi wamekuwa wakilalamikia teknolojia na ufundi wa simu nyingi za kisasa wengi wakiwaponda wabunifu kwa misingi ya kuwa asilimia kubwa ya simu za mfumo wa 3G na zaidi zinatengezwa kwa plastiki. Sasa basi,bwana mmoja mb… Read More
  • Google yapewa wiki 10 kujibu malalamishiHabari kuu ya teknolojia wiki hii ni le ya muungano wa ulaya uliolalamika kwamba Kampuni ya Google ilikuwa ikijipendelea zaidi katika soko lake. Google sasa ina wiki kumi kujibu malalamishi hayo licha ya kusema kuwa haikubali… Read More
  • Hili ndilo jipya kutoka tigo kuhusiana na huduma zao vyuoni. Baada ya wimbi kubwa la wananchi ambao sio wanafunzi kukimbilia sehemu za vyuoni ili kujiunga na huduma nzuri za mitandao hususani dakika za mawasiliano na "internet bundle" leo hii wametangaza zoezi la kuwaandikisha wanafunz… Read More
  • Wanasayansi watengeneza maji yanayozuia risasi.Wanasayansi nchini Poland wametengeza maji ambayo yakipakwa katika vazi linaloweza kukinga risasi ,yanaweza kuzuia risasi mbali na dharubu inayosababishwa na kasi yake kutosababisha madhara ndani ya mwili wa binaadamu. Maji h… Read More

0 comments:

Post a Comment