Facebook

Friday, 27 June 2014

Lallana anafanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na Liverpool


         Adam Lallana yuko jijini Liverpool akifanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na "The Reds".Ikumbukwe Southampton walikataa dau lililotolewa na Liverpool mara mbili kabla ya michuano ya kombe la dunia.Lakini safari hii mchezaji mwenyewe ameonyesha nia ya kuondoka na tayari Southampton wamemfungulia milango ya kuondoka na kujiunga na majogoo wa jiji la Liverpool kwa dau la uhamisho la Paundi million 25.
         Anafuata nyayo za aliyekuwa  mchezaji mwenzake wa Southampton,Rickie Lambert ambaye alijiunga na Liverpool kabla ya michuano ya Kombe la dunia.
          Inaonekana ni biashara nzuri wanayoifanya Southampton ya kuuza wachezaji wao kwa bei ya juu sana kinachosubiriwa na mashabiki wa Southampton ni kuona wachezaji gani wapya watakaonunuliwa kuja kuziba nafasi zilizoachwa na Adama Lallan na Rickie Lambert waliojiunga na Liverpool na vilevile Luke Shaw aliyejiunga na Manchester United.

Imeandaliwa na......
                                ~Katemi Methsela

SORCES:SKY SPORTS
            BBC SPORTS


Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kupata taarifa na tetesi zote za usajili wa wachezaji barani Ulaya.Jukumu letu ni kukuhabarisha punde tunapopata hhabari yoyote kwa muda na wakati muafaka.

Related Posts:

  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Liverpool watafanya jitihada za mwisho kujaribu kumshawishi Ashley Cole kujiunga nao (Mail on Sunday),   Taarifa nyingine zinasema Cole tayari ameingia mkataba wa miaka mitatu na Roma ya Italy (Sunday People),… Read More
  • Wilferd Zaha atimkia Newcastle. Kocha wa Man united Lous Van Gaal amekubali kumuuza winga kinda Wilfried Zaha kwa kiasi cha milioni £7.  katika dirisha la usajili la majira ya joto baada ya miezi 18 aliyo kaa kinda huyu katika timu ya Ma… Read More
  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Arsenal wameanza tena kumfuatilia kiungo wa Bayer Leverkusen Lars Bender, huku Arsene Wenger akiwa anakaribia kukamilisha usajili wa Alexis Sanchez na beki Mathew Debuchy (Daily Telegraph),    Arsenal wamek… Read More
  • Sanchez akaribia kutua Arsenal   Arsenal wamefikia makubaliano ya £34million na Barcelona kwa ajili ya mchezaji wa kimataifa wa Chile - Alexis Sanchez kwa sharti kwamba watapewa mchezaji huyo kama klabu nyingine haitafikia dau walilotoa Arse… Read More
  • Mathieu Debuchy mbioni kujiunga Arsenal.   Mathieu Debuchy atatangazwa rasmi muda wowote kuanzia sasa kama mchezaji wa Arsenal kutokea Newcastle United. Beki huyo amekua na msimu mzuri msimu uliopita kitakwimu akimzidi beki wa nafasi hiyo aliyehamia Man… Read More

0 comments:

Post a Comment