Facebook

Saturday 28 June 2014

Samuel Eto'o asakwa na Vilabu mbalimbali barani Ulaya.

Photo: Klabu ya AC Milan imeonyesha kuvutiwa na Samuel Eto’o hivyo inajiandaa kupeleka ofa kwa mshambuliaji huyo raia wa Cameroon ili kuweza kumsainisha ndani ya San Siro.

Fiorentina nao wameonyesha kumuhitaji nyota huyo wakitaka kumpa mkataba wa mwaka mmoja na ofa ya Euro milioni 2 kwa msimu wakati Eto’o akisema anataka mkataba wa miaka miwili huku Juventus nao wakionyesha nia ya kutaka kumsajili mchezaji huyo aliyekuwa akiitumikia klabu ya Chelsea msimu uliopita.

Maoni yako

Klabu ya AC Milan imeonyesha kuvutiwa na Samuel Eto’o hivyo inajiandaa kupeleka ofa kwa mshambuliaji huyo raia wa Cameroon ili kuweza kumsainisha ndani ya San Siro.

Fiorentina nao wameonyesha kumuhitaji nyota huyo wakitaka kumpa mkataba wa mwaka mmoja na ofa ya Euro milioni 2 kwa msimu wakati Eto’o akisema anataka mkataba wa miaka miwili huku Juventus nao wakionyesha nia ya kutaka kumsajili mchezaji huyo aliyekuwa akiitumikia klabu ya Chelsea msimu uliopita.
 
Imeandaliwa na.....
                              ~Katemi Methsela
 
 Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kupata taarifa na tetesi zote za usajili wa wachezaji barani Ulaya.Jukumu letu ni kukuhabarisha punde tunapopata hhabari yoyote kwa muda na wakati muafaka.

0 comments:

Post a Comment