Tukio la BET awards 2014 limefanyika na mambo mbalimbali yalitokea, zaidi ya interview kwenye redcarpet Diamond amekutana na wasanii tofauti. Hivi sasa ameshare picha zake akiwa na msanii Nelly wakionekana kwenye mazungumzo na salamu. Hayo yote yametokea kwenye redcarpet ya BET usiku wa kuamkia leo 30/6.
Monday, 30 June 2014
Diamond akutana na Nelly kwenye Red Carpet ya BET,afunguka ya moyoni.
Tukio la BET awards 2014 limefanyika na mambo mbalimbali yalitokea, zaidi ya interview kwenye redcarpet Diamond amekutana na wasanii tofauti. Hivi sasa ameshare picha zake akiwa na msanii Nelly wakionekana kwenye mazungumzo na salamu. Hayo yote yametokea kwenye redcarpet ya BET usiku wa kuamkia leo 30/6.
Related Posts:
Serikali ya Marekani yakataa ombi la kumfukuza Justin Beiber Marekani......fuatilia hapa....... Hatimaye ikulu ya Marekani imejibu ombi lililotolewa na raia wa Marekani kwa Rais Barack Obama kumfukuza Justin Bieber nchini humo, ombi lililopata sahihi takribani 275,000 ndani ya siku 30 na kuvuka kiwango cha sahihi… Read More
Muziki wa bongo waanza kupiga hatua,video ya Izzo B yachezwa Channel O.........fuatilia hapa.........!!!!!! Harakati za kuuvusha muziki wa Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ni pamoja na kupata airtime kwenye vituo vya kimataifa ambapo Channel O ni kituo mojawapo kati ya vituo vinavyoaminika kwa kusambaza upendo na kuo… Read More
Kumbe rapper aliyejikata uume alikuwa ametumia madawa ya kulevya ...........soma hapa.......... Rapper wa Marekani, Andre Johnson aliyejaribu kujiua kwa kujikata uume wake aliwashangaza wengi kwa kuwa kitendo hicho sio cha kawaida na wengi walitaka kufahamu sababu hasa iliyompelekea kufanya jaribio hi… Read More
Baby Madaha ajibu mapigo Kwa Steve Nyerere ........fuatilia hapa mapigo hayo............ VITA ni vita! Mwanadada shosti anayesukuma maisha kupitia filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha amesema anamshangaa Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ kwa kauli aliyoitoa d… Read More
Penzi la Drake na Rihanna lazidi kunoga, amnunulia saa ya gharama kubwa ..........fuatilia hapa........ Drake na Rihanna wanaendelea kushibana na penzi lao linachanua huku wakiripotiwa kuwa na mpango wa kuishi pamoja Kwa mujibu wa gazeti la Daily Star, chanzo kimoja kimeeleza kuwa Drake amemnunulia Rihanna zawadi ya pete … Read More
0 comments:
Post a Comment