Facebook

Monday 30 June 2014

Diamond akutana na Nelly kwenye Red Carpet ya BET,afunguka ya moyoni.

n1 
Tukio la BET awards 2014 limefanyika na mambo mbalimbali yalitokea, zaidi ya interview kwenye redcarpet Diamond amekutana na wasanii tofauti. Hivi sasa ameshare picha zake akiwa na msanii Nelly wakionekana kwenye mazungumzo na salamu. Hayo yote yametokea kwenye redcarpet ya BET usiku wa kuamkia leo 30/6.

n2
n3
n4

0 comments:

Post a Comment