Sunday, 22 June 2014
Wema Sepetu aumia baada ya Mama yake kudhalilishwa...
by
@wemasepetu "Dah...! Sijui hata niseme nini...! Ila si mlitaka
kuniumiza... leo mmefanikiwa... nawapeni hongera.... Tena mmetisha
haswa... Kila sjku huwa hata siumizwi na
matusi yenu cuz naonaga kama ni mnajisumbua tu... Hakuna siku nimelia
kwa uchungu kama leo... I min mnitukane mimi mpaka mchoke but leave my
mum out of it... Kawakosea nini nyinyi mama angu mpaka mfanye hivyo...
Mzazi nwenyewe ndo nimebakia nae mmoja tu... mnataka afe na yeye nibaki
yatima sio... dah... leo mmeniweza... saana jamani... Basi naomba
isifike huko... nina uchungu sana na mama angu ... nampenda sana mama
angu ila naona mnataka kuniulia mama angu... Picha halisi ndo hio hapo
juu kweli mtu uende ukamfanyie hivyo mama wa mwenzako... una mama wewe..
au uliokotwa na hujui uchungu wa mama... dah... nime surrender leo....
hongera zenu narudia tena... mmeniweza leo.... dah... Mungu nipe nguvu
ktk hili jamani... Kwani nilichokikosea haswa ni kitu gani mpaka iwe
hivi . Nimekosa nini mimi yarabi toba.... Eeeh mungu... Dah... Ila
nashkuru..
Related Posts:
Chid Benz avuta bangi Stejini,mabaunsa wamshushia kipondo kizito.! Chidi benz Jana Jumapili wakati anafanya show New maisha Club Dodoma alifanya kitendo ambacho baadhi ya mashabiki walimwona kweli jamaa sasa ameshaanza kuwa chizi. wakati akiwa anafanya Show Katikati ya … Read More
Picha:Diamond akiwa studio na Mafikizolo,baada ya kumuomba "collabo".. Kama unakumbuka nilikuhabarisha kuwa Diamond alifanya collable na msanii mwanadada mkubwa kutoka Nigeria anaeitwa Waje, Waje ndio alieomba collabo kwa Diamond na collabo hiyo ilifanyika Nigeria wakati wa uzinduzi … Read More
Rapper Lil Kim ajifungua mtoto wa kike Rapper Lil Kim aliyezaliwa miaka 39 iliyopita, siku ya jana June 9 saa 3 na dakika 58 alijifungua asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingt… Read More
Nuh Mziwanda ajichora tatoo ya jina la Shilole kuonyesha mapenzi ya dhati. Msanii kijana Nuh Mziwanda, ameamua kujichora tattoo yeney jina la Shilole "Shishi Baby" kwenye mkono wake kudhihirisha mapenzi yake kwa msanii huyo Nuhu licha yakuchora tattoo hiyo aliambatanisha maneno haya kat… Read More
Picha za mazishi ya mzee Small. Ni msiba wa 4 mfululizo ndani ya mwezi mmoja kutoka tasnia ya filamu Tanzania,Jioni ya June 09 Said Ngamba au Mzee Small alizikwa na mazishi yake kuhudhuriwa na watu mbalimbali wa serikali,vyama,wasanii na wananch… Read More
0 comments:
Post a Comment