Sunday, 22 June 2014
Wema Sepetu aumia baada ya Mama yake kudhalilishwa...
by
 @wemasepetu "Dah...! Sijui hata niseme nini...! Ila si mlitaka 
kuniumiza... leo mmefanikiwa... nawapeni hongera.... Tena mmetisha 
haswa... Kila sjku huwa hata siumizwi na
 matusi yenu cuz naonaga kama ni mnajisumbua tu... Hakuna siku nimelia 
kwa uchungu kama leo... I min mnitukane mimi mpaka mchoke but leave my 
mum out of it... Kawakosea nini nyinyi mama angu mpaka mfanye hivyo... 
Mzazi nwenyewe ndo nimebakia nae mmoja tu... mnataka afe na yeye nibaki 
yatima sio... dah... leo mmeniweza... saana jamani... Basi naomba 
isifike huko... nina uchungu sana na mama angu ... nampenda sana mama 
angu ila naona mnataka kuniulia mama angu... Picha halisi ndo hio hapo 
juu kweli mtu uende ukamfanyie hivyo mama wa mwenzako... una mama wewe..
 au uliokotwa na hujui uchungu wa mama... dah... nime surrender leo.... 
hongera zenu narudia tena... mmeniweza leo.... dah... Mungu nipe nguvu 
ktk hili jamani... Kwani nilichokikosea haswa ni kitu gani mpaka iwe 
hivi . Nimekosa nini mimi yarabi toba.... Eeeh mungu... Dah... Ila 
nashkuru..

0 comments:
Post a Comment