Facebook

Sunday 29 June 2014

Manchester United mbion kunasa saini ya kisiki cha Uholanzi,Arsenal na Man Utd zatiana pembe kwa Vidal

  Photo: Karibu vyombo vingi vya habari vimeripoti kuwa Manchester United na klabu ya Feyernood vimefikia makubaliano ya kumsajili beki wa kati Stefan de Vrij kwa thamani ya Paund mil 8.. Beki huyo nguzo kwa timu ya taifa ya uholanzi kwa sasa anashiriki fainali za kombe la dunia na uhenda akajiunga kwa miamba hiyo ya Uingereza hasa baada ya Louis Van Gaal kucheza mchezo mchafu kumkwapua baada ya taarifa za awali kudai beki uyo alikua akijiandaa kuelekea kunamo klabu ya Lazio. 

Pia vyombo vya habari nchini Italy na Chile vimeripoti kuwa Manchester United wanajiandaa kumtengenezea Artulo Vidal mshahara wa Paund 230,000 kwa week, huku Arsenal Wenger naye akituma wawakilishi wake kuweza kumpata kiungo uyo mahiri wa club ya Juventus. 

=/ D.P /=
Karibu vyombo vingi vya habari vimeripoti kuwa Manchester United na klabu ya Feyernood vimefikia makubaliano ya kumsajili beki wa kati Stefan de Vrij kwa thamani ya Paund mil 8.. Beki huyo nguzo kwa timu ya taifa ya uholanzi kwa sasa anashiriki fainali za kombe la dunia na uhenda akajiunga kwa miamba hiyo ya Uingereza hasa baada ya Louis Van Gaal kucheza mchezo mchafu kumkwapua baada ya taarifa za awali kudai beki uyo alikua akijiandaa kuelekea kunamo klabu ya Lazio.

Pia vyombo vya habari nchini Italy na Chile vimeripoti kuwa Manchester United wanajiandaa kumtengenezea Artulo Vidal mshahara wa Paund 230,000 kwa week, huku Arsenal Wenger naye akituma wawakilishi wake kuweza kumpata kiungo uyo mahiri wa club ya Juventus. 

Endelea kutembelea www.bantutz.com kupata habari na tetesi za usajili barani ulaya kwa wakati na muda muafaka.

0 comments:

Post a Comment