Facebook

Monday 30 June 2014

Beki kisiski wa Ivory Coast mbioni kujiunga Arsenal.

Photo: Marseille wameonyesha kuvutiwa na beki wa kulia wa Toulouse,Serge Aurier lakini raia huyo wa Ivory Coast anasema anataka kujiunga na klabu ya Arsenal huku thamani yake ikifikia kiasi cha Euro milioni 8. 
Mpaka sasa hakuna la msingi lililofanyinywa na Arsene Wenger ingawa beki huyu ambaye hupanda na kushuka ameweka bayana anataka kuchezea Arsenal. 
Binafsi nitajisikia vibaya sana Wenger akidai tuna Jenkinson kama beki mbili na hatumuhitaji Serge Aurier.
 
Marseille wameonyesha kuvutiwa na beki wa kulia wa Toulouse,Serge Aurier lakini raia huyo wa Ivory Coast anasema anataka kujiunga na klabu ya Arsenal huku thamani yake ikifikia kiasi cha Euro milioni 8.
Mpaka sasa hakuna la msingi lililofanyinywa na Arsene Wenger ingawa beki huyu ambaye hupanda na kushuka ameweka bayana anataka kuchezea Arsenal.
Binafsi nitajisikia vibaya sana Wenger akidai tuna Jenkinson kama beki mbili na hatumuhitaji Serge Aurier.

0 comments:

Post a Comment