Facebook

Wednesday, 25 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.

Photo: Tetesi za soka Ulaya
Barcelona hawamtaki tena beki wa Porto Eliaquim Mangala, lakini Chelsea na Manchester United bado wanamfuatilia (Daily Star), Manchester United wapo tayari kutoa pauni milioni 6 kusajili kiungo wa AC Milan Nigel de Jong (Tuttosport), Carlos Vela hatorejea Arsenal na amesaini mkataba mpya Real Sociedad (Daily Express), Tottenham wanajiandaa kutoa pauni milioni 5 kumsajili Divock Origi mwenye asili ya Kenya anayechezea Lille ya Ufaransa (Daily Mail), West Brom wanajipanga kumnyatia Victor Moses wa Chelsea baada ya kushindwa kuonesha cheche zake Liverpool (Sun), Barcelona wameweka dau la pauni milioni 68 kumsajili Luis Suarez kutoka Liverpool (Bild) Manchester United na Tottenham wanamgombea Memphis Depay au "Cristiano Ronaldo mpya" anayechezea PSV Eindhoven (Bild), straika wa Monaco Radamel Falcao amekataa kwenda, Chelsea, Manchester City na Tottenham na anataka kwenda Real Madrid (AS), Real Madrid wapo tayari kuwauza Angel Di Maria, Sami Khedira na Fabio Coentrao iwapo timu zitatoa bei nzuri (Marca). Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa.
Tetesi za soka Ulaya
Barcelona hawamtaki tena beki wa Porto Eliaquim Mangala, lakini Chelsea na Manchester United bado wanamfuatilia (Daily Star), 
 
Manchester United wapo tayari kutoa pauni milioni 6 kumsajili kiungo wa AC Milan Nigel de Jong (Tuttosport), 
 
Carlos Vela hatorejea Arsenal na amesaini mkataba mpya Real Sociedad (Daily Express),
 
 Tottenham wanajiandaa kutoa pauni milioni 5 kumsajili Divock Origi mwenye asili ya Kenya anayechezea Lille ya Ufaransa (Daily Mail), 
 
West Brom wanajipanga kumnyatia Victor Moses wa Chelsea baada ya kushindwa kuonesha cheche zake Liverpool (Sun),
 
 Barcelona wameweka dau la pauni milioni 68 kumsajili Luis Suarez kutoka Liverpool (Bild)
 
 Manchester United na Tottenham wanamgombea Memphis Depay au "Cristiano Ronaldo mpya" anayechezea PSV Eindhoven (Bild),
 
 Straika wa Monaco Radamel Falcao amekataa kwenda, Chelsea, Manchester City na Tottenham na anataka kwenda Real Madrid (AS),
 
 Real Madrid wapo tayari kuwauza Angel Di Maria, Sami Khedira na Fabio Coentrao iwapo timu zitatoa bei nzuri (Marca).
 
 Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa.

Related Posts:

  • Brendan Rodgers asalia Liverpool. Brendan Rodgers anabaki klabuni Liverpool baada ya mazungumzo mazuri na mwenyekiti wa timu hiyo Tom Werner. Mazungumzo hayo yame mbakisha Rodgers kuwa meneja wa Liverpool. Je! maamuzi ya kumbakisha Brendan Anfield, ikiwa t… Read More
  • Neymar aiomba Barca kumuongeza mkataba Dani Alves. Inaonekana Dani Alves anaweza kuondoka Barcelona mara mkataba wake ukiisha msimu huu.Lakini mchezaji mwenzake Neymar ameomba apewe nafasi ya kubaki Nou Camp.Makubaliano kati ya Alves na Barcelona hayajakamilika,Mbrazil huyo … Read More
  • Madrid wafungua mazungumzo na Raheem Sterling.Real Madrid imefungua mazungumzo ya kumnyaka mchezaji Raheem Sterling kwa ada ya uhamisho wa Euro milioni 45.Mchezaji huyo machachali anataka kuondoka Liverpool na matajiri wa Hispania wapo tayari kukamilisha mpango wa ku… Read More
  • James Milner atua Liverpool.Kiungo James Milner anakamilisha uhamisho kwenda Liverpool akitokea timu Manchester City midfielder.Milner miaka 29 anategemewa kuungana na Wekundu hao July mosi tayari kwa msimu mpya.Milner ameshinda Premier League mara mbil… Read More
  • Liverpool yamkosa mshambuliaji hatari LacazetteTimu ya Liverpool itashindwa kumsaini mchezji Alexandre Lacazette ,baada ya Rais wa timu ya Lyon Jean-Michel Aulas kusema mchezaji wake hatojiunga na Liverpool kufuatia timu hiyo ya Anfield kukosa nafasi ya kushiriki Cha… Read More

0 comments:

Post a Comment