Facebook

Monday, 30 June 2014

KOCHA WA ALGERIA ACHUKIZWA NA MASWALI KUHUSU MFUNGO WA RAMADHANI

Photo: KOCHA WA ALGERIA ACHUKIZWA NA MASWALI KUHUSU MFUNGO WA RAMADHANI

Kocha wa Algeria Vahid Halilhodzic amekataa kutaja wachezaji wake watakaofunga mwezi wa Ramadhani, kabla ya mchezo wao wa Jumatatu (leo) dhidi ya Ujerumani.
Katika mkutano na waandishi wa habari, alikasirishwa baada ya kuulizwa suala hilo mara kadhaa.
"Hili ni suala binafsi, na kuuliza ni kukosa heshima na maadili" alisema kocha huyo kutoka Bosnia.
"Wachezaji watafanya wanavyotaka, na sitaki mtafaruku huu uendelee." Ameongeza.
Nahodha wa Algeria Madjid Bougherra amesema atafunga Ramadhani, lakini kiungo wa Ujerumani Mesut Ozil na beki wa Ufaransa Bacary Sagna walisema hawatofunga.
Kikosi cha Algeria kimekwenda Brazil na Hakim Chalabi, ambaye ni mtaalam wa utabibu wa michezo na mmoja wa wataalam wa kutegemewa wa FIFA kwa wachezaji wanaofunga Ramadhani.
Kocha wa Algeria Vahid Halilhodzic amekataa kutaja wachezaji wake watakaofunga mwezi wa Ramadhani, kabla ya mchezo wao wa Jumatatu (leo) dhidi ya Ujerumani.
Katika mkutano na waandishi wa habari, alikasirishwa baada ya kuulizwa suala hilo mara kadhaa.
"Hili ni suala binafsi, na kuuliza ni kukosa heshima na maadili" alisema kocha huyo kutoka Bosnia.
"Wachezaji watafanya wanavyotaka, na sitaki mtafaruku huu uendelee." Ameongeza.
Nahodha wa Algeria Madjid Bougherra amesema atafunga Ramadhani, lakini kiungo wa Ujerumani Mesut Ozil na beki wa Ufaransa Bacary Sagna walisema hawatofunga.
Kikosi cha Algeria kimekwenda Brazil na Hakim Chalabi, ambaye ni mtaalam wa utabibu wa michezo na mmoja wa wataalam wa kutegemewa wa FIFA kwa wachezaji wanaofunga Ramadhani.

Related Posts:

  • Chelsea yaisambaratisha Liverpool .   Kwa mara nyingine Chelsea imeonyesha ni moto wa kuotea mbali baada ya kuifunga Liverpool 2 - 1 mbele ya mashabiki wao katika uwanja wa Anfield. Liverpool ndio waliokuwa wa kwanza kufunga goli lililotiwa wavuni na … Read More
  • Simba Sc Vs Ruvu shooting Live Commentaries KIKOSI CHA SIMBA IVO MAPUNDA MOHAMED HUSSEIN WILLIAM LUCIAN RAJABU ISIHAKA OWINO MKUDE RAMADHANI SINGANO SAID NDEMLA TAMBWE AWADH JUMA OKWI KIKOSI CHA RUVU SHOOTING ABDALLAH MADEGA MGUTA MSESE NTEBE DABI KEYALA NADI MATHAYO… Read More
  • BantuTz LIVESTREAMING::SWANSEA CITY vs ARSENALAngalia MechiLiveStreaming kupitia Computer au Tablet yako mechi kali kati ya Swansea dhidi ya Arsenal itakayochezwa majira ya saa 1:00 kwa masaa ya Afrika Mashariki. Utaangalia mechi hiyo bila kukwama au kukatika kwa matanga… Read More
  • BantuTz LIVESTREAMING::Manchester United vs Crystal Palace.Angalia MechiLiveStreaming kupitia Computer au Tablet yako mechi kali kati ya Manchester United dhidi ya Crystal Palace itakayochezwa huko Old Trafford katika Jiji la Manchester majira ya saa 12:00 kwa masaa ya Afrika Mashari… Read More
  • Simba SC 1-0 Ruvu Shooting FULL TIMEKIKOSI CHA SIMBA IVO MAPUNDA MOHAMED HUSSEIN WILLIAM LUCIAN RAJABU ISIHAKA OWINO MKUDE RAMADHANI SINGANO SAID NDEMLA TAMBWE AWADH JUMA OKWI KIKOSI CHA RUVU SHOOTING ABDALLAH MADEGA MGUTA MSESE NTEBE DABI KEYALA NADI MATHAYO M… Read More

0 comments:

Post a Comment