Facebook

Monday, 30 June 2014

KOCHA WA ALGERIA ACHUKIZWA NA MASWALI KUHUSU MFUNGO WA RAMADHANI

Photo: KOCHA WA ALGERIA ACHUKIZWA NA MASWALI KUHUSU MFUNGO WA RAMADHANI

Kocha wa Algeria Vahid Halilhodzic amekataa kutaja wachezaji wake watakaofunga mwezi wa Ramadhani, kabla ya mchezo wao wa Jumatatu (leo) dhidi ya Ujerumani.
Katika mkutano na waandishi wa habari, alikasirishwa baada ya kuulizwa suala hilo mara kadhaa.
"Hili ni suala binafsi, na kuuliza ni kukosa heshima na maadili" alisema kocha huyo kutoka Bosnia.
"Wachezaji watafanya wanavyotaka, na sitaki mtafaruku huu uendelee." Ameongeza.
Nahodha wa Algeria Madjid Bougherra amesema atafunga Ramadhani, lakini kiungo wa Ujerumani Mesut Ozil na beki wa Ufaransa Bacary Sagna walisema hawatofunga.
Kikosi cha Algeria kimekwenda Brazil na Hakim Chalabi, ambaye ni mtaalam wa utabibu wa michezo na mmoja wa wataalam wa kutegemewa wa FIFA kwa wachezaji wanaofunga Ramadhani.
Kocha wa Algeria Vahid Halilhodzic amekataa kutaja wachezaji wake watakaofunga mwezi wa Ramadhani, kabla ya mchezo wao wa Jumatatu (leo) dhidi ya Ujerumani.
Katika mkutano na waandishi wa habari, alikasirishwa baada ya kuulizwa suala hilo mara kadhaa.
"Hili ni suala binafsi, na kuuliza ni kukosa heshima na maadili" alisema kocha huyo kutoka Bosnia.
"Wachezaji watafanya wanavyotaka, na sitaki mtafaruku huu uendelee." Ameongeza.
Nahodha wa Algeria Madjid Bougherra amesema atafunga Ramadhani, lakini kiungo wa Ujerumani Mesut Ozil na beki wa Ufaransa Bacary Sagna walisema hawatofunga.
Kikosi cha Algeria kimekwenda Brazil na Hakim Chalabi, ambaye ni mtaalam wa utabibu wa michezo na mmoja wa wataalam wa kutegemewa wa FIFA kwa wachezaji wanaofunga Ramadhani.

Related Posts:

  • Yanga vs Azam Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara linafunguliwa leo kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa wakali wa Jangwani Yanga SC kucheza na timu ya Azam FC, Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Masharik… Read More
  • LUIS VAN GAAL "LAZIMA MUWEZE KUZUNGUMZA KIINGEREZA VIZURI"-Hayo ni maneno aliyo yazungumza Manager wa Man United LOUIS VAN GAAL akiwataka wachezaji wake wapya alio wasajili katika dirisha lililofungwa juzi waweze kuzungumza kiingereza vizuri ili iweze kuwasaidia vizuri katika kazi y… Read More
  • RATIBA ULAYA | UEFA Champions LeagueLeo Jumanne 21:45 Olympiakos Piraeus vs Atlético Madrid 21:45 Juventus vs Malmö FF 21:45 Liverpool vs Ludogorets 21:45 Real Madrid vs Basel 21:45 Monaco vs Bayer Leverkusen 21:45 Benfica vs Zenit 21:45 Galatasaray v… Read More
  • Orodha ya vilabu 10 ulaya vilivyotengeneza fedha nyingi kwenye usajili.1. Southampton FC 97 2. Real Madrid CF 89.4 3. Chelsea FC 81 4. Liverpool FC 80 5. AS Monaco 76 6. FC Barcelona 68.7 7. FC Porto 67 8. Club Atlético de Madrid 58.2 9. Sevilla FC 43 10. FC Bayern München 39 … Read More
  • KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YANGA1. MWADINI ALI 2. SHOMARI KAPOMBE 3. ERASTO NYONI 4. DAVID MWANTIKA 5. AGGREY MORIS 6. BOLOU MICHAEL 7. HIMIDI MAO 8. SALUM ABUBAKAR 9. DIDIER KAVUMBAGU 10. KIPRE TCHETCHE 11. LEONEL SAINT PREUX AKIBA AISHI MANULA MUDATHIR YA… Read More

0 comments:

Post a Comment