Facebook

Friday, 27 June 2014

Tetesi za usajili barani Ulaya.

Manchester UnitedBaada ya kumnasa kiungo kutoka klabu ya Athletico Bilbao,Manchester United wamemnasa kinda wa Kiingereza kutoka klabu ya Southmpton kwa ada ya uhamisho ya Paundi million 34.Luke Shaw amefaulu vipimo vya afya na yuko Carrington hivi sasa kukamilisha taratibu nyingine.

Staying power: Coleman has penned a  new deal at Goodison Park, snubing a move south to ArsenalBeki wa kushoto wa Everton ,Seamus Coleman aliyeng'ara sana msimu uliopita amekataa kujiunga na klabu ya Arsenal inayomuwinda beki huyo kwenda kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mlinzi Bacary Sagna aliyejiunga na Mabingwa watetezi Manchester City.Coleman amekubali kuongeza mkataba wa kuendelea kukipiga katika klabu hiyo ya Everton ambapo taarifa kamili itatolewa ndani ya msaa 24 yajayo kuanzia sasa.



Signing: Barcelona announced the four-year deal on their twitter page, along with a picture or the keeper

Barcelona imemsajili kipa mwingine baada ya kumnasa  Marc-Andre ter Stegen.Golikipa huyo anaitwa Claudio Bravo  alikuwa anakipiga katika klabu ya Real Sociedad,na anadakia timu ya taifa ya Chile na yuko na timu hiyo katika michuano ya kombe la dunia huko Brazil hivi sasa.Claudio Bravo mwenye miaka 31 amesaini mkataba wa miaka 4.Anakuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na Barcelona baada ya golikipa mwingine Marc-Andre ter Stegen na kiungo kutoka Sevilla na timu ya taifa ya Croatia Ivan Rakitic.


Gunning for it: Loic Remy, in action for France against Ecuador, is closing in on a move to ArsenalLoic Remy anapewa kipaumbele zaidi kama mchezaji anayehitajiwa zaidi na Arsene Wenger na Arsenal wako tayari kumsajili kwa dau la Paundi million 8.Akiwa na timu ya Ufaransa katika michuano ya kombe la dunia chini Brazil Loic Remy tayari ameshaonyesha dalili za kutua klabu hiyo baada ya kutaka kushiriki katika michuano ya Ligi ya mabingwa barani Ulaya.Loic alikuwa kwa mkopo Newcastle United akitokea QPR huku kocha wa Newcastle United Alan Padrew ameonyesha nia ya kumbakisha mchezaji huyo.


Imeandaliwa na .....
                                Katemi Methsela


Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

  • Walcott akataa kuzungumzia mkataba mpya ArsenalTheo Walcott hataki kuonyesha muelekeo wake ndani ya Arsenal ingawa mkataba wake umebakisha mwaka mmoja kuisha.Walcott alifunga katika fainali ya FA dhidi ya Aston Villa kwa ushindi wa 4 - 0.Mchezaji huyo ameviambia vyombo … Read More
  • Brendan Rodgers asalia Liverpool. Brendan Rodgers anabaki klabuni Liverpool baada ya mazungumzo mazuri na mwenyekiti wa timu hiyo Tom Werner. Mazungumzo hayo yame mbakisha Rodgers kuwa meneja wa Liverpool. Je! maamuzi ya kumbakisha Brendan Anfield, ikiwa t… Read More
  • Man United wapewa nafasi kubwa kumnasa Gundogan.Manchester United inamwinda mchezaji IIkay Gundogan kutoka Dortmund lakini taarifa zinasema mchezaji huyo yupo katika mazungumzo na vilabu vingine vya Bayern Munich na Barcelona. Timu za Arsenal, Chelsea zinatajwa kumchu… Read More
  • Madrid wafungua mazungumzo na Raheem Sterling.Real Madrid imefungua mazungumzo ya kumnyaka mchezaji Raheem Sterling kwa ada ya uhamisho wa Euro milioni 45.Mchezaji huyo machachali anataka kuondoka Liverpool na matajiri wa Hispania wapo tayari kukamilisha mpango wa ku… Read More
  • Schneiderlin kutua Man United kwa ada ya Euro milioni 25Manchester United imevutiwa na kutaka kumsaini mchezaji kiungo wa Southampton Morgan Schneiderlin..Kiungo huyo wa miaka 25 ni mmoja wa viungo waliocheza vizuri msimu uliomalizika wa Premier League.Timu ya Arsenal na Tottenha… Read More

0 comments:

Post a Comment