Facebook

Friday 27 June 2014

Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.

 Photo: TETESI ZA SOKA ULAYA
Rio Ferdinand amekubali kujiunga na QPR baada ya kukaa Manchester United kwa miaka 12 (Daily Mail), Angel Di Maria wa Real Madrid anasakwa na Manchester United na Arsenal, na amekiri kuwa hana uhakika wa kuwepo Madrid msimu ujao (Daily Express), Meneja mpya wa Southampton amewatikisa Man United kwa kuongeza bei ya beki Luke Shaw kwa pauni milioni 10 zaidi, hadi kufikia pauni milioni 40 (Daily Mail), Baba Mkwe wa Luis Suarez amesema huu ni wakati muafaka kwa mchezaji huyo kuhamia Real Madrid au Barcelona kwa sababu hana "chochote cha kuthibitisha England" (La Sexta), Chelsea wamesema hawatomruhusu Romelu Lukaku kwenda kwa mkopo timu yoyote msimu ujao (Daily Express), Tottenham, Hull City na Manchester United wanafikiria kumwania beki wa Espanyol Hector Moreno (Marca), Mshambuliaji wa Swansea Michu yuko njiani kuhamia West Ham kwa pauni milioni 6 (Sun), Inter Milan wapo tayari kutoa pauni milioni 12 kumsajili winga wa Manchester United Nani (Daily Star), Mshambuliaji wa zamani wa Atletico Madrid Radamel Falcao huenda akawa anarejea tena Spain kujiunga na Real Madrid (Tuttosport), Manchester United watatoa pauni milioni 28 kumsajili kiungo wa Athletic Bilbao, Ander Herera (Marca), Juventus wameongeza dau na kufikia pauni milioni 14 kumwania Alvaro Morata wa Real Madrid, ambaye pia anasakwa na Arsenal (As.com). Hayo ndio yamedokezwa kwenye magazeti na mitandao Ulaya leo -tetesi nyingine kesho- panapo majaaliwa.

Rio Ferdinand amekubali kujiunga na QPR baada ya kukaa Manchester United kwa miaka 12 (Daily Mail), 
 
Angel Di Maria wa Real Madrid anasakwa na Manchester United na Arsenal, na amekiri kuwa hana uhakika wa kuwepo Madrid msimu ujao (Daily Express), 
 
Meneja mpya wa Southampton amewatikisa Man United kwa kuongeza bei ya beki Luke Shaw kwa pauni milioni 10 zaidi, hadi kufikia pauni milioni 40 (Daily Mail), 
 
Baba Mkwe wa Luis Suarez amesema huu ni wakati muafaka kwa mchezaji huyo kuhamia Real Madrid au Barcelona kwa sababu hana "chochote cha kuthibitisha England" (La Sexta), 
 
Chelsea wamesema hawatomruhusu Romelu Lukaku kwenda kwa mkopo timu yoyote msimu ujao (Daily Express), 
 
Tottenham, Hull City na Manchester United wanafikiria kumwania beki wa Espanyol Hector Moreno (Marca),
 
 Mshambuliaji wa Swansea Michu yuko njiani kuhamia West Ham kwa pauni milioni 6 (Sun), 
 
Inter Milan wapo tayari kutoa pauni milioni 12 kumsajili winga wa Manchester United Nani (Daily Star), 
 
Mshambuliaji wa zamani wa Atletico Madrid Radamel Falcao huenda akawa anarejea tena Spain kujiunga na Real Madrid (Tuttosport), 
 
Manchester United wametoa pauni milioni 28 kumsajili kiungo wa Athletic Bilbao, Ander Herera (Marca),
 
 Juventus wameongeza dau na kufikia pauni milioni 14 kumwania Alvaro Morata wa Real Madrid, ambaye pia anasakwa na Arsenal (As.com). 
 
Hayo ndio yamedokezwa kwenye magazeti na mitandao Ulaya leo -tetesi nyingine kesho- panapo majaaliwa.

0 comments:

Post a Comment