Facebook

Friday, 27 June 2014

Wenger apiga kichwa kama Cha Van Persie,akiwa anajirusha huko Brazil

WengerPREVIEW-Wenger-Trunks.jpg 

Kocha wa ti u ya ligi kuu ya Uingereza Arsenal,Arsene Wenger amekutwa akiwa katika fukwe huko Brazil akijirusha baada ya Ligi kuu ya Uingereza kuisha wakijiandaa na msimu ujao.Huku yeye akiwa nchini Brazili kufuatilia michuano ya kombe la dunia.

Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali amabayo kocha huyo wa washika bunduki wa London alionekana akila raha katika fukwe tulivu na safi huko Brazil.


On my head: Arsene Wenger plays a game of volleyball on the beach in Brazil 

 Airtime: Wenger flings his legs in the air, resembling Robin van Persie's header against Spain
 Airtime: Van Persie's amazing header against Spain in their opening Group B game in Salvador
 Super Van: The Dutch striker flew through the air and headed past Spanish goalkeeper Iker Casillas

Arsene Wenger akiruka "Kichwa Samaki" kama lile goli la alilolifunga Robin Van Persie "Diving Header" dhidi ya Hispania,Arsene Wenger alipiga kichwa hicho wakati akicheza mchezo wa Volleyball katika fukwe huko Brazil


Who's that? A male figure starts to emerge from the choppy waters on Ipanema beachWenger, Arsene Wenger: The Arsenal boss emerges 007 styleSpotted: A number of tourists approached Wenger as he came out of the waterDip: Wenger goes into the ocean for a swim wearing a traditional Brazilian male bathing suitGood spirits: Wenger looked happy enough taking photographs with fans and playing beach footballBeach football: The Arsenal boss prepares to serve/kickTactics: Shall we play a 1-1, 2-0 or 0-2 formation Arsene? 


Imeandaliwa na......
                                ~Katemi Methsela

 

Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

  • Yanga kupinga maamuzi ya TFF juu ya Okwi.Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru. Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria ya Yanga, Sam Mapande… Read More
  • Class of 92 waibuka na Coca Cola.Class of 92' wamekutana pamoja safari hii kukubali kufanya kazi na kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola, na chupa za bidhaa hizo ziliandikwa majina ya magwiji hao. Nyota wazamani wa Manchester United Phil Neville alipost p… Read More
  • iPhone 6 Plus yatengenezwa kwa ajili ya Mashabiki wa Manchester United.Mashabiki ulimwenguni wamesema simu mpya aina ya iPhone 6 Plus imetolewa maalum kwa ajili ya mashabiki wa Manchester United ambayo kwenye simu ya kawaida haionekani kwa urahisi kwenye msimamo wa ligi kuu ya England lakini kup… Read More
  • Maicon aondolewa timu ya taifa ya Brazil kwa kashfa ya "Ushoga" Brazil ilicheza mechi ya kirafiki na Colombia kule Miami Florida, hapo jumamosi, ikaibuka na ushindi wa 1-0, kwa goli lililofungwa na mshambuliaji wa Neymar. Hivi sasa Brazil inajiandaa kukipiga na Ecuador hapo Jumatano, Se… Read More
  • FAIDA YA MAN UTD 'KUTETEREKA'Manchester United imetangaza kuporomoka kwa faida ya kila mwaka wa fedha katika mwaka ambao David Moyes alikuwa meneja. Klabu hiyo ya Ligi Kuu ya England imesema kipato halisi kimeporomoka kwa asilimia 84 na kufikia takriban … Read More

0 comments:

Post a Comment