Wenger,
 akionekqna kwenye televisheni ya beIN Sport's World Cup show, aliulizwa
 na Ruud Gullit kama anamnunua straika wa zamani wa Manchester City 
Mario Balotelli, na jibu lake likawa: 'Hapana. Hapana, Hiyo imetungwa.
 
'Hatuwezi kuamini vyote kwenye mitandao na magazeti.
 
'Kuna wakati tetesi hizi hutengenezwa na majenti ama waandishi ili kupata habari, si kweli.'
 
Milan bado wanahaha kutafuta mnunuzi wa straika huyo mwenye miaka 23 tu.
 
Balotelli, Arsenal hakuna dili hilo. Habari hii ni nzuri ama mbaya kwako
'Hatuwezi kuamini vyote kwenye mitandao na magazeti.
'Kuna wakati tetesi hizi hutengenezwa na majenti ama waandishi ili kupata habari, si kweli.'
Milan bado wanahaha kutafuta mnunuzi wa straika huyo mwenye miaka 23 tu.
Balotelli, Arsenal hakuna dili hilo. Habari hii ni nzuri ama mbaya kwako

0 comments:
Post a Comment