Facebook

Monday 30 June 2014

Wenger akana kumsajili Mario Balotelli.

 
 Photo: Wenger, akionekqna kwenye televisheni ya beIN Sport's World Cup show, aliulizwa na Ruud Gullit kama anamnunua straika wa zamani wa Manchester City Mario Balotelli, na jibu lake likawa: 'Hapana. Hapana, Hiyo imetungwa.

'Hatuwezi kuamini vyote kwenye mitandao na magazeti.

'Kuna wakati tetesi hizi hutengenezwa na majenti ama waandishi ili kupata habari, si kweli.'

Milan bado wanahaha kutafuta mnunuzi wa straika huyo mwenye miaka 23 tu.

Balotelli, Arsenal hakuna dili hilo. Habari hii ni nzuri ama mbaya kwako
Wenger, akionekqna kwenye televisheni ya beIN Sport's World Cup show, aliulizwa na Ruud Gullit kama anamnunua straika wa zamani wa Manchester City Mario Balotelli, na jibu lake likawa: 'Hapana. Hapana, Hiyo imetungwa.

'Hatuwezi kuamini vyote kwenye mitandao na magazeti.

'Kuna wakati tetesi hizi hutengenezwa na majenti ama waandishi ili kupata habari, si kweli.'

Milan bado wanahaha kutafuta mnunuzi wa straika huyo mwenye miaka 23 tu.

Balotelli, Arsenal hakuna dili hilo. Habari hii ni nzuri ama mbaya kwako

0 comments:

Post a Comment